maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Tumejenga fylover ubungo na kweli saa hizi hatuna tena foleni za ajabu pale. Tukapanua barabara kuanzia Kimara Mwisho hadi Kibaha na kweli njia hii unatirirka tu.
Ila ajabu na cha kushangaza ni hiki kipande cha Ubungo hadi Kimara, kwanini kimeachwa? Yaani unatiririka vizuri ila ukifika tu hiki kipande unawaza foleni.
Hivi hawa Tanroads wanakaaga kabisa na kuwaza? Hii njia inamalori sana na daladala nyingi na zote zinaumana kwenye hiki kipande.
Daladala zinasimama barabarani kupakia na kushusha,malori nayo hayakawii kuzingua na kuziba barabara...kwanini wasipanue hata njia za muda zile za pembeni kuendana na flyover ya Ubungo na njia 8 ya Mbezi? Labda mnaojua mtanielewesha huenda uelewa wangu ndo tatizo.
Ila ajabu na cha kushangaza ni hiki kipande cha Ubungo hadi Kimara, kwanini kimeachwa? Yaani unatiririka vizuri ila ukifika tu hiki kipande unawaza foleni.
Hivi hawa Tanroads wanakaaga kabisa na kuwaza? Hii njia inamalori sana na daladala nyingi na zote zinaumana kwenye hiki kipande.
Daladala zinasimama barabarani kupakia na kushusha,malori nayo hayakawii kuzingua na kuziba barabara...kwanini wasipanue hata njia za muda zile za pembeni kuendana na flyover ya Ubungo na njia 8 ya Mbezi? Labda mnaojua mtanielewesha huenda uelewa wangu ndo tatizo.