choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Kama vile watu hawataki watoto wafaulu, wanadai kisa one za 7 zimekua nyingi basi elimu imeshuka. Wakati ukweli ni kwamba
1. Sasa walimu ni wengi na wanafundisha kuliko wa zamani
2. Materials ya kujifunzia ni mengi na yanapatikana kwa urahisi kuliko zamani
3. Watoto wako motivated kusoma kuliko zamani
4. Shule ni nyingi kuliko zamani
5. Pengine IQ za watoto wa sasa ni kubwa kuliko zamani.
Tuache kuzionea wivu one za 7 za sasahivi
1. Sasa walimu ni wengi na wanafundisha kuliko wa zamani
2. Materials ya kujifunzia ni mengi na yanapatikana kwa urahisi kuliko zamani
3. Watoto wako motivated kusoma kuliko zamani
4. Shule ni nyingi kuliko zamani
5. Pengine IQ za watoto wa sasa ni kubwa kuliko zamani.
Tuache kuzionea wivu one za 7 za sasahivi