blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Duh..Watoto wa sasa hv kweli wana one na one zipo nyingi..
Ila ukifatilia kiukweli kichwani wana mavi mavi. Unakuta mtoto ana one kali ila mambo madogo madogo hajui kutwa ni visingeli ndo mana tunashangaa sana hii imekaaje au ndo madogo wanakalili majibu ...
Mi mtoto wa ant angu yaan ant dada ake baba sio ant dorry ..
Huyu dogo ana one form 4 ila pale hom mambo anayo fanya mpka nasemaga hii ni hasara aiseee.....
Yaaani kichwani kama anamakamasi
Train her/him