Kwanini kizazi hiki kinapenda sana chips mayai na kuku?

huwa naamini wanawake wote wako na akili sawa japokuwa nawaheshimu kwa kuwa ni mama zetu na dada ze2. V2 wanavyovifanya ni vile vile ila wanatofautiana muda na mahali pa kufanyia. Labda tuwaulize wa humu jf,eti..mnavyotolewa out c huwa mnalishwa chipsi mayai na reds aafu mnaenda kuvlipia ucku mzima? naombeni majib
 

wanawake watu wazima huwezi wahukumu kwa njia hiyo
wao wana mahitaji yao ya mwili pia,
so hawaendi kufuata chipsi na reds..
na wao wana mahitaji ya mapenzi,sex na kadhalika
 
Dsm kila bidhaa inauzika. Hebu tembelea kwenye kumbi za taarab uone kina kaka na kina dada wanavyo shindana kuuza malighafi zao, zote zinanunuliwa na wanaume rijali
<br />
<br />
oya umenichekesha sana ati malighafi lo....!
 
wanawake watu wazima huwezi wahukumu kwa njia hiyo<br />
wao wana mahitaji yao ya mwili pia,<br />
so hawaendi kufuata chipsi na reds..<br />
na wao wana mahitaji ya mapenzi,sex na kadhalika
<br />
<br />
makubwa!!!!!!
 
mkuu mwanamke akikupenda hata bila chips<br />
hata kwa pipi tu au maji ya kunywa unambeba...<br />
ni namna unavyougusa moyo wake na maneno yako...
<br />
<br />
c huwa wanasema,c hakiishi bwana! acha apate chipsi kwanza upendo cku nyingine
 
Ndio maana vijana wengi siku hizi ni legelege kwenye yale mambo.
 
mkuu nimesema kuwaona tu..<br />
sio kuwapata..<br />
<br />
kama hata chipsi hawawezi nunua,je usafi wao wa mwili ukoje?<br />
wataweza nunua padi?shampoo ,perfume na kadhalika???
<br />
<br /
Hayo mengine utamuwezesha tu.
 
We ulitaka wapewe nini ndio wakubali?!

Na ulishawahi kuwauliza kama bila hizo chips wangekubali au wangekataa mpaka kufikia hitimisho kwamba WANAUZA UTU WAO KWA CHIPS?!

Wewe unauza wako au unanunua wa mwenzako kwa bei gani ambayo inakufanya uamini kwamba wewe ni bora zaidi ya hao unaowasema?!
 
Kizazi cha CHips ndo maana hata Serikali legelege km chips
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…