Soma hoja vizuri na uielewe...ndipo utaweza toa jibu la kuendana na hojaHata yanga kesho wanamechi kesho
Ulitaka wajali vp utaifa? Taifa staz imecheza saa 10 na Simba saa 1 usiku. Shida ipo wapi hapo?! Punguza kulalamika na chuki za kike kwa Simba mkuu..! Unalalamika sana utasema nyumba ndogoTimu ya Simba ni mambumbumbu... Hawajali utaifa kabisa
Jibu hoja au hujaielewa.....wachezaji wa Simba wangechaguliwa ktk Timu ya Taifa hii mechi ya saa moja ingekuwepo!? Ndipo mtoa hoja anapotatizwa....?Ulitaka wajali vp utaifa? Taifa staz imecheza saa 10 na Simba saa 1 usiku. Shida ipo wapi hapo?! Punguza kulalamika na chuki za kike kwa Simba mkuu..! Unalalamika sana utasema nyumba ndogo
Huwa siwezagi kuongea na mtu kwa kauli chafu chafu kama zako....Ulitaka wajali vp utaifa? Taifa staz imecheza saa 10 na Simba saa 1 usiku. Shida ipo wapi hapo?! Punguza kulalamika na chuki za kike kwa Simba mkuu..! Unalalamika sana utasema nyumba ndogo
Kwani ni timu ina wachezaji wangapi? Taifa Staz waliita 6 tu ina maana kukosekana hao Simba isingecheza mechi ya kirafiki?Jibu hoja au hujaielewa.....wachezaji wa Simba wangechaguliwa ktk Timu ya Taifa hii mechi ya saa moja ingekuwepo!? Ndipo mtoa hoja anapotatizwa....?
Unajibiwa kulingana na mtazamo wako. Unamtazamo hasi dhidi ya Simba na mechi yao ya leo.Huwa siwezagi kuongea na mtu kwa kauli chafu chafu kama zako....
Jifunzeni nidhamu ninyi mashabiki pamoja na wachezaji wenu... Na viongozi wenu wa timu
Haiwezekani.Stars Bila Simba inawezekana
Ushawahi kuona barca inacheza wakati team ya taifa inacheza?Ulitaka wajali vp utaifa? Taifa staz imecheza saa 10 na Simba saa 1 usiku. Shida ipo wapi hapo?! Punguza kulalamika na chuki za kike kwa Simba mkuu..! Unalalamika sana utasema nyumba ndogo
Inashindikana nini? Kila kitu kinakwenda na ratiba na mahitaji ya mwalimu. Timu haijacheza mechi kwa zaidi ya wiki sasa na wiki ijayo ligi inaendelea. Ni muhimu kwa mwalimu kupata mchezo wa kirafiki ili awaweke sawa kisaikolojia wachezaji wake.Ushawahi kuona barca inacheza wakati team ya taifa inacheza?