Kwanini Klabu ya Yanga ina nicknames nyingi kuliko Mahasimu wao Simba?

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,635
Reaction score
4,160
[emoji1318]

Wakuu,

Kwa wale wanaojua na kufuatilia vema masuala ya soka hasa hapa nchini,

Kwa nini klabu ya soka ya Yanga ina nicknames nyingi kama vile

1) Gongowazi fc,

2) Vyura fc,

3) Mbeleko fc,

4) Malalamiko fc,

5) Mbutembute fc,

6) Utopolo fc,

7) Kwasukwasu fc

8) Mabakuli FC

Na majina mengine mengi,

Wakati mahasimu wao wakubwa, timu ya Simba wana nickname moja tu maarufu ya "Wekundu wa msimbazi"?

Na ningeomba kupata fasiri/ufafanuzi, na ikiwezekana chanzo cha kila nickname hapo juu.

Wajuvi wa soka,

Nijuzeni tafadhali!

[emoji1318][emoji1318][emoji1318]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya majina yanatokana na muda tu, kwa mfano; Vyura=asili ya eneo ni makazi ya chura
Malalamiko FC= Asili ya mashabiki wanalalamika sana (hata mahasimu wao wakipata kona wao wanalalamika)
Kuna muda hata Simba walipata jina la Miamala FC sijui kwa nini!
 
Kwenye majina VYURA na MALALAMIKO hapo nimekupata mkuu,

Vipi kuhusi GONGOWAZI, MBELEKO, MBUTEMBUTE, UTOPOLO na KWASUKWASU?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga pia ni mikia fc, mbumbumbu fc, wa matopeni fc, miamala fc, pafyumu vyumbani fc, vilaza fc, mo fc ...kwa hakika yanga wana majina mengi...tehtehteh
 
Kuna mwaka mikia walikuwa na mchezaji wao anaitwa Thomas Karume..alikuwa analiwa 0719 na makocha wa mikia ..mechi ya Yanga na Mikia mashabiki wa Yanga wakaja uwanjani na shanga wakazirusha jukwaa la mikia...wakaitwa SHANGA FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…