Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
[emoji1318]
Wakuu,
Kwa wale wanaojua na kufuatilia vema masuala ya soka hasa hapa nchini,
Kwa nini klabu ya soka ya Yanga ina nicknames nyingi kama vile
1) Gongowazi fc,
2) Vyura fc,
3) Mbeleko fc,
4) Malalamiko fc,
5) Mbutembute fc,
6) Utopolo fc,
7) Kwasukwasu fc
8) Mabakuli FC
Na majina mengine mengi,
Wakati mahasimu wao wakubwa, timu ya Simba wana nickname moja tu maarufu ya "Wekundu wa msimbazi"?
Na ningeomba kupata fasiri/ufafanuzi, na ikiwezekana chanzo cha kila nickname hapo juu.
Wajuvi wa soka,
Nijuzeni tafadhali!
[emoji1318][emoji1318][emoji1318]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu,
Kwa wale wanaojua na kufuatilia vema masuala ya soka hasa hapa nchini,
Kwa nini klabu ya soka ya Yanga ina nicknames nyingi kama vile
1) Gongowazi fc,
2) Vyura fc,
3) Mbeleko fc,
4) Malalamiko fc,
5) Mbutembute fc,
6) Utopolo fc,
7) Kwasukwasu fc
8) Mabakuli FC
Na majina mengine mengi,
Wakati mahasimu wao wakubwa, timu ya Simba wana nickname moja tu maarufu ya "Wekundu wa msimbazi"?
Na ningeomba kupata fasiri/ufafanuzi, na ikiwezekana chanzo cha kila nickname hapo juu.
Wajuvi wa soka,
Nijuzeni tafadhali!
[emoji1318][emoji1318][emoji1318]
Sent using Jamii Forums mobile app