Pafyumu vyumbani fc [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga pia ni mikia fc, mbumbumbu fc, wa matopeni fc, miamala fc, pafyumu vyumbani fc, vilaza fc, mo fc ...kwa hakika yanga wana majina mengi...tehtehteh
Bado chapati za kaduguda fc-Mbumbubmbu fc
-Mikia fc
-Misukele fc
-Hirizi fc
-Miamala fc-hapa game ukiwa tafu upande wao lazima tigo pesa ihusike.
-Bebwabebwa fc- hapa marefa huusika kutoa magoli ya offside, penalt za nje ya 18
-Jazba fc - hapa baada yakufungwa na kung'oa viti
-Mbumbubmbu fc
-Mikia fc
-Misukele fc
-Hirizi fc
-Miamala fc-hapa game ukiwa tafu upande wao lazima tigo pesa ihusike.
-Bebwabebwa fc- hapa marefa huusika kutoa magoli ya offside, penalt za nje ya 18
-Jazba fc - hapa baada yakufungwa na kung'oa viti
Simba wanabebwa fc๐๐๐๐Pia kuna haya.
Vijora Fc.
Senene FC
VAR FC
Mitulinga FC
Simba wanabebwa FC.
Siku hizi kumekua na majina ya ajabu ajabu tu. Enzi zetu ilikua ni UMOJA WA MATAIFA kwa Yanga, na TAIFA KUBWA kwa Simba.[emoji1318]
Wakuu,
Kwa wale wanaojua na kufuatilia vema masuala ya soka hasa hapa nchini,
Kwa nini klabu ya soka ya Yanga ina nicknames nyingi kama vile
1) Gongowazi fc,
2) Vyura fc,
3) Mbeleko fc,
4) Malalamiko fc,
5) Mbutembute fc,
6) Utopolo fc,
7) Kwasukwasu fc
8) Mabakuli FC
Na majina mengine mengi,
Wakati mahasimu wao wakubwa, timu ya Simba wana nickname moja tu maarufu ya "Wekundu wa msimbazi"?
Na ningeomba kupata fasiri/ufafanuzi, na ikiwezekana chanzo cha kila nickname hapo juu.
Wajuvi wa soka,
Nijuzeni tafadhali!
[emoji1318][emoji1318][emoji1318]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau Ndumba FCMbona hata Simba ina nicknames nying sana, kama vile;.
FIFA FC
Wamatopeni Fc
Mbumbumbu FC
Hamsa FC
Kadi tatu Fc
Point za mezan Fc
Nakadhalika
Sent using Jamii Forums mobile app
Umedanganya makusudi .[emoji1318]
Wakuu,
Kwa wale wanaojua na kufuatilia vema masuala ya soka hasa hapa nchini,
Kwa nini klabu ya soka ya Yanga ina nicknames nyingi kama vile
1) Gongowazi fc,
2) Vyura fc,
3) Mbeleko fc,
4) Malalamiko fc,
5) Mbutembute fc,
6) Utopolo fc,
7) Kwasukwasu fc
8) Mabakuli FC
Na majina mengine mengi,
Wakati mahasimu wao wakubwa, timu ya Simba wana nickname moja tu maarufu ya "Wekundu wa msimbazi"?
Na ningeomba kupata fasiri/ufafanuzi, na ikiwezekana chanzo cha kila nickname hapo juu.
Wajuvi wa soka,
Nijuzeni tafadhali!
[emoji1318][emoji1318][emoji1318]
Sent using Jamii Forums mobile app