Kwanini Klabu ya Yanga ina nicknames nyingi kuliko Mahasimu wao Simba?

Kwanini Klabu ya Yanga ina nicknames nyingi kuliko Mahasimu wao Simba?

-Mbumbubmbu fc
-Mikia fc
-Misukele fc
-Hirizi fc
-Miamala fc-hapa game ukiwa tafu upande wao lazima tigo pesa ihusike.
-Bebwabebwa fc- hapa marefa huusika kutoa magoli ya offside, penalt za nje ya 18
-Jazba fc - hapa baada yakufungwa na kung'oa viti
Bado chapati za kaduguda fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo hirizi fc ndo zao hao mikia fc umewapatia bado puliza dawa fc
-Mbumbubmbu fc
-Mikia fc
-Misukele fc
-Hirizi fc
-Miamala fc-hapa game ukiwa tafu upande wao lazima tigo pesa ihusike.
-Bebwabebwa fc- hapa marefa huusika kutoa magoli ya offside, penalt za nje ya 18
-Jazba fc - hapa baada yakufungwa na kung'oa viti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Namshangaa sana Shabiki wa Yanga FC anayetumia muda wake mwingi Kuidhihaki Simba SC inabebwa. Hivi Timu yetu ( Yanga ) inapoteza alama 8 dhidi ya Prisons, dhidi ya Mbeya City, dhidi ya Coastal Union na dhidi ya Polisi halafu unatumia nguvu Kubwa Kuitukana Simba SC? Kwahiyo na Yanga FC istahili Kubebwa ili isipate Sare 4? "

Jr[emoji769]
 
ongezea

Ndala au Kandambili fc

Yeboyebo fc

Bwawani fc
 
[emoji1318]

Wakuu,

Kwa wale wanaojua na kufuatilia vema masuala ya soka hasa hapa nchini,

Kwa nini klabu ya soka ya Yanga ina nicknames nyingi kama vile

1) Gongowazi fc,

2) Vyura fc,

3) Mbeleko fc,

4) Malalamiko fc,

5) Mbutembute fc,

6) Utopolo fc,

7) Kwasukwasu fc

8) Mabakuli FC

Na majina mengine mengi,

Wakati mahasimu wao wakubwa, timu ya Simba wana nickname moja tu maarufu ya "Wekundu wa msimbazi"?

Na ningeomba kupata fasiri/ufafanuzi, na ikiwezekana chanzo cha kila nickname hapo juu.

Wajuvi wa soka,

Nijuzeni tafadhali!

[emoji1318][emoji1318][emoji1318]

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi kumekua na majina ya ajabu ajabu tu. Enzi zetu ilikua ni UMOJA WA MATAIFA kwa Yanga, na TAIFA KUBWA kwa Simba.

Yaan hata Kidedea hakipigwi tena siku hizi pale Simba inapopata bao
 
TIMU KONGWE NCHINI ZIKIWA KWENYE VIKAO NYETI NA VIONGOZI WAO!!!
IMG-20200307-WA0045.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1318]

Wakuu,

Kwa wale wanaojua na kufuatilia vema masuala ya soka hasa hapa nchini,

Kwa nini klabu ya soka ya Yanga ina nicknames nyingi kama vile

1) Gongowazi fc,

2) Vyura fc,

3) Mbeleko fc,

4) Malalamiko fc,

5) Mbutembute fc,

6) Utopolo fc,

7) Kwasukwasu fc

8) Mabakuli FC

Na majina mengine mengi,

Wakati mahasimu wao wakubwa, timu ya Simba wana nickname moja tu maarufu ya "Wekundu wa msimbazi"?

Na ningeomba kupata fasiri/ufafanuzi, na ikiwezekana chanzo cha kila nickname hapo juu.

Wajuvi wa soka,

Nijuzeni tafadhali!

[emoji1318][emoji1318][emoji1318]

Sent using Jamii Forums mobile app
Umedanganya makusudi .
Utopolo fc na kwasukwasu fc n majina ya utani ya simba.
 
Back
Top Bottom