Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,897 Reaction score 10,213 Jun 24, 2016 #21 Jacobus said: Angalia gharama mkuu ya kuipeleka timu huko na kuanzisha ujenzi wa uwanja wao kipi kiwe kipaumbele? Click to expand... Hata TP Mazembe wana uwanja lakini huwa wanaenda kuweka kambi ulaya
Jacobus said: Angalia gharama mkuu ya kuipeleka timu huko na kuanzisha ujenzi wa uwanja wao kipi kiwe kipaumbele? Click to expand... Hata TP Mazembe wana uwanja lakini huwa wanaenda kuweka kambi ulaya
kilimbamula JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 1,792 Reaction score 853 Jun 24, 2016 #22 moodykabwe said: Tuko kwenye maandalizi ya jangwani Citey Click to expand... Bila shaka unamanisha Jangwani City au nimeona vibaya? Nadhani wanakwenda Uturuki kupeleka.
moodykabwe said: Tuko kwenye maandalizi ya jangwani Citey Click to expand... Bila shaka unamanisha Jangwani City au nimeona vibaya? Nadhani wanakwenda Uturuki kupeleka.
Songambele JF-Expert Member Joined Nov 20, 2007 Posts 4,710 Reaction score 2,587 Jun 24, 2016 #23 Jacobus said: Angalia gharama mkuu ya kuipeleka timu huko na kuanzisha ujenzi wa uwanja wao kipi kiwe kipaumbele? Click to expand... Wanatumia sh.ngapi kwani? Na wakiwa bongo wanatumia kiasi gani? Mazingira bongo sio rafiki game next week TFF wanaotisha conference za kuikomoa yanga Na kuingiza Simba katika mambo ya Yanga wakati simba hawapo katika mashindano.
Jacobus said: Angalia gharama mkuu ya kuipeleka timu huko na kuanzisha ujenzi wa uwanja wao kipi kiwe kipaumbele? Click to expand... Wanatumia sh.ngapi kwani? Na wakiwa bongo wanatumia kiasi gani? Mazingira bongo sio rafiki game next week TFF wanaotisha conference za kuikomoa yanga Na kuingiza Simba katika mambo ya Yanga wakati simba hawapo katika mashindano.
Victor wa happy JF-Expert Member Joined Apr 24, 2013 Posts 11,660 Reaction score 11,654 Jun 24, 2016 #24 Manji anandugu zake uturuki.... Sasa sjui kuna biashara gani wanaifanya kupitia Wachezaji