SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kwa wale wafuatiliaji wa AFCON watakuwa wanajua tukio lililotokea katika mechi ya Morocco vs DRC na gumzo ambalo limekuwa linaendelea kuhusu vurugu zilizofuata.
Mengi yanasemwa nini kilitokea ila mimi ambaye niliangalia mechi ile live kitu cha kwanza nilichoona ambacho hakikunipendeza ni kitendo cha Kocha wa Morocco kwenda kwa Captain wa DRC, Chancel Mbemba na kulazimisha mazungumzo wakati Mbemba anasali.
Kile kitendo cha kumpa mkono Mbemba kilikuwa ni cha kinafki maana alijua camera zingenasa kinachoonekana na siyo kinachosikika na bahati mbaya zaidi clip zote zinazosambaa zimekata hiki ninachokisema.
Najua kuna matukio yalitokea kabla ya pale yaliyochochea zaidi ila kile kitu sikukipenda kabisa maana kutoheshimu moment ya mtu akiongea na muumba wake ni dharau kubwa sana.
Mengi yanasemwa nini kilitokea ila mimi ambaye niliangalia mechi ile live kitu cha kwanza nilichoona ambacho hakikunipendeza ni kitendo cha Kocha wa Morocco kwenda kwa Captain wa DRC, Chancel Mbemba na kulazimisha mazungumzo wakati Mbemba anasali.
Kile kitendo cha kumpa mkono Mbemba kilikuwa ni cha kinafki maana alijua camera zingenasa kinachoonekana na siyo kinachosikika na bahati mbaya zaidi clip zote zinazosambaa zimekata hiki ninachokisema.
Najua kuna matukio yalitokea kabla ya pale yaliyochochea zaidi ila kile kitu sikukipenda kabisa maana kutoheshimu moment ya mtu akiongea na muumba wake ni dharau kubwa sana.