Kwanini kodi za magari Tanzania haziendani na uhalisia?

Kwanini kodi za magari Tanzania haziendani na uhalisia?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Kwa hali halisi inaonekana kodi za TRA katika uagizaji magari Azina uhalisia kodi inakuwa kubwa kuliko gharama ya gari! Ni nani Mshauri wa Wizara ya Fedha katika swala la kodi je kuna vigezo vinavyotumika kutoza kodi?kama vipo ni vipi?mbona haviendani na uhalisia?Kwani Tanzania kuagiza gari ni anasa tulitegemea nchi wadada wananchi wake kwa kuwapunguzia mzigo wa kodi Ila huku ipo tofauti? Katika nchi jirani kodi zipo chini wakati magari yanapita hapa Bandari salama ni nini sababu?Tujenge hoja!
 
Trade balance ni issue, we import more than we export. Tarrifs ni njia moja wapo wa kudiscourage importation.
Una discourage importation kwa kuweka kodi kubwa kwenye magari mapya, kibongo bongo, used abroad kwa miaka michache, unapunguza kwa yaliyotumika miaka mingi zaidi! Hapa unatengeneza dampo la vyuma chakavu kwa nchi yetu.
 
Nilitegemea magari ya kutoka Kiwandani 00Km yangekuwa ushuru bei chini lakini wapi ndiyo kwanza ushuru upo juu sana ile dhana kuwa kudhibiti magari chakavu kumbe nitofauti hakuna uhalisia kabisa katika kodi utadhani hakuna wasomi TRA Tanzania
 
Nchi hii ina matatizo mengi, hawa tuliowapa dhamana watuongoze nchi ya ahadi, wanatuingiza shimo la tewa.
 
Mnategemea watapata wapi hela hao wapumbavu?

Ni kwamba hawana chanzo kingine cha mapato, ndio maana huko kwenye kuagiza magari ndio wanapiga haswa maana ndio source wanayoimudu.

Madini na rasilimali nyingine wamewaachia mabeberu wajichumie maana wao hawana akili za kuzigeuza kuwa pesa...

Hali itakuwa mbaya sana hapo mbeleni maana pesa za bure Trump kazizuia
 
Jamaa Yangu kaagiza harrier 2014 kashindwa kuitoa, anaiuza! Kaleta gari ghafla ushuru umekua Mkubwa kwa ziada ya 6m
Pamoja na ukweli kuwa Tanzania kodi za gari zipo juu sana, hasa wakiona brand za Ulaya, lakini huyo jamaa yako alikuwa hajafikia uwezo wa kuagiza hiyo gari amelazimisha tu.

Harrier 2014 ni 50M + hadi unalitia kwa mkono sasa kukuta kodi imepanda kwa 6M tu ameshindwa kulitoa hapo alijioverdose katika car expenditure.

Ukiagiza gari hakikisha unaweza kucheza na fructuation kama hizo kirahisi ukiona unakomba akaunti yote hiyo gari si size yako.
 
Back
Top Bottom