MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 355
Hii inategemea sana,nairobi ni kubwa,Dar ni kubwa vilevile;Kwa nairobi kuna sehemu kodi yake ni rahisi na kuna sehemu ni ghali vilevile kwa Dar;
Sasa inabidi ijulikane kama hizo zinazoongelewa zinafanana kwa kibiashara,makazi n.k ndio unaweza uka-conclude kwamba Dar nyumba ni gharama zaidi ya nairobi;
Vilevile unazungumzia nyumba binafsi au za nhc ili tujue,lkn ni ngumu sana ku-conclude hvyo;
Sasa kwa taarifa yako Nairobi ndo kuna money laundering kwa kiasi kikubwa kuliko Dar kuanzia WANASIASA mpaka wafanyabiashara binafsi naish Nairobi kichumba kimoja (BEDSITTER) nalipa 10,000 KSHS.= 200,000TSH/mwezi umbali wa 45kms toka Mjini CBD, Wakati hapa Sinza unapata chumba laki 1
Yote sawa, lakini tatizo kubwa watanzania tumejawa na UBINAFSI & UOGA. Ndio sababu japo ilishatangazwa kuwa kodi mwisho kulipa n miezi mi3 pia marufuku ya ongezeko la kodi kiholela. Ila hakuna wakunyanyuka na kuhoji au hata kuuliza inakuwaje & vp utekelezaji wake. Ndio sababu pia hata ada za shule binafsi zinazidi kuongezeka kila kukicha.. Ila hakuna wa kuhoji, matokeo yake ni kugugumia tuu.. Lol jaman tuachane na UBINAFSI itakusaidia kutokuwa WAOGA hasa pale inapostahili.
Sababu Ni Mbili,ya Kwanza Ni Utawala Mbovu Wa Ccm,ya Pili Ni Kwa Kuwa Wazaramo Wengi Hawana Akili Ya Kufanya Biashara Na Hivyo Kujikuta Wakitegemea Nyumba Asilimia Mia Ili Waishi Na Ndo Maana Lazima Wapandishe Kodi.
Sasa kwa taarifa yako Nairobi ndo kuna money laundering kwa kiasi kikubwa kuliko Dar kuanzia WANASIASA mpaka wafanyabiashara binafsi naish Nairobi kichumba kimoja (BEDSITTER) nalipa 10,000 KSHS.= 200,000TSH/mwezi umbali wa 45kms toka Mjini CBD, Wakati hapa Sinza unapata chumba laki 1
The answer is simple as that no tax comand in rent house in Dar also no regulator of housing demand kumbuka pia kuna ujenzi holela unaotokana na mfumo holela wa nyumba na mkazi wajanja wameingia kwa wingi kwenye uwekezaji wa nyumba na makazi Lakini linaloumiza zaidi sio tuu bei ila kudai gharama za kupanga kwa mwaka mzima badala ya mwezi kwa mwezi kunaonyesha jinsi kulivyo na ujanja ujanja kwenye nyumba na makazi.
na bei ya cement pia.ingekuwa 5000 wengi wangejenga na demand ingepungua. pia vifaa vingi vya finishing tunaagiza. bati msauzi, tiles spain, sink india, vitasa union vya uingereza. haishangazi wanaposema kuna upungufu wa nyumba.Nadhani hata ujenzi wa nyumba Dar ni balaa tupu. ikiwa Kiwanja peke yake ni 50m ukijenga kweli utapangisha kwa laki moja?