Kwanini Kombe la Dunia la mwaka huu halina amsha amsha kama Makombe ya Dunia yaliyopita?

Kwanini Kombe la Dunia la mwaka huu halina amsha amsha kama Makombe ya Dunia yaliyopita?

But Kwa taarifa tu...tiketi zote zimeshauzwa...booking za hotelKwa sasa ni zaidi ya asilimia 90 mpaka waarabu wanakodi macruizer kuwa mbadala WA hotel...kiufupi sema world cup haina mvuto huku kwetu Africa lakini at general world bado inatazamiwa kuwa kubwa...
Qatar wamezidiwa hadi wameomba mapolisi toka Nchi nyengine, Ticket tayari zimeshauzika zamani, Mamilioni wamekosa Tiketi.
 
Limeenda kule Kwa sababu ya Rushwa Ndo maana hakuna Mwamko Yaan kombe ulipeleke Kwa waarabu utegemee mwamko
 
Back
Top Bottom