Kwanini kuacha kupiga Nyeto ni ngumu sana.??

Kuna njia moja tu niliyoitumia kuacha nafikil hata ww itakusaidia

Binafsi niliweka ahadi na Mungu wangu kwamba nikipiga punyeto nisipate dili lolote na mambo yangu yasifanikiwe

Kila nikitaka kupiga nikikumbuka tu naacha sasa hyo lazima uwe na iman na Mungu wako
Mbinu nyingine zote ilishindikana lkn hii nimeweza sahiv hata ckumbuk hata form ya usajil nimerudisha
 
1. Weka nia thabiti ya kuacha.

2. Yajue madhara ya Punyeto ili upate hofu ya kufanya tena. Madhara hayo ni pamoja na

°Kukosa ladha ya penzi ukiwa na mwanamke

°Kushindwa kusimamisha kutokana na mishipa ya uume kulegea

°Kupunguza nguvu za kiume

°Kupunguza uwezo wa kufikiri. Hii utokana na kutumia nguvu nyingi akilini kuweka picha ya uchi ya mwanamke fulani ili uweze ku ejaculate

°Kukupa msongo wa mawazo. Maana unapomaliza kupiga punyeto, unawaza sana na kujilaumu na kusema hii ndiyo mara yangu ya mwisho kabisa kufanya na sitarudia tena. But baada ya muda unarudia tena.

3. Epuka kukaa peke yako. Jichanganye na watu. Unapokaa peke yako mpweke, ni lazima ujikute umepiga punyeto.

4. Mrudie Muumba wako. Hudhuria ktk vyumba vya ibada. Hii itakupa hofu kufanya punyeto kwa kujua kua ukifanya punyeto, utakua unamkosea Muumba.

5. Epuka picha na video za ngono. Hiki ndicho kinafanya wengi wapige punyeto. Kama unapicha na video kama hizi, zifute kabisa.


Ukizingatia hayo, punyeto unaacha kabisa..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kupiga punyeto ni dhambi? Hiyo ni starehe ya mtu ila inampunguzia uwezo wa tendo la ndoa. Wewe baba umefanikiwa kumpa mwanao maadili mazuri anapobalehe uzalendo ukamshinda je atafute girl friend au apige punyeto? Kwa mtu aliye sawasawa ni lazima achague kimoja ukisema mwanao hafanyi ni unafiki. Dini inakataza lakini hayo ni mambo ya kufikirika tu. Usinyime akili kitu inapenda. Kazi kwenu vijana, mimi napita, mtafakari kwa makini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio ni Dhambi pia ukizoea bila kuacha utagogewa mkeo
 
Kwanini uache?

Nyeto ndiyo ngono pekee unaweza kumgegeda kihisia mwanamke yeyote unayemtaka kwa muda wowote bila usumbufu wowote.
 
Kuacha raisi sana ukiwa na mwanamke anaekupa tam bila shida
Ss wengi unakuta madem wanataka ela kila wakija geto
 
FAIDA ZA NYETO:

1.Ni mazoezi ya viungo
2. Inapunguza hasira
3. Haina stress za kusalitiwa
4. Inakuepusha na magonjwa ya zinaa/ UKIMWI
5. Haina gharama
 
Asilimia 95 ya wanaume wanapiga au walishawahi kupiga nyeto ila asilimia 90 huwa hawakubali kuwa walishapiga!!
 
Chukua unga wa pilipili manga changanya na maji ya moto kisha jikande kwenye uume kutwa Mara tatu kwa muda we siku 21 utaona jinsi utakavyokua na nguvu kma simba dume

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta nyuki madume wanne[4] na uweke kwenye uume, wakitupia yaani waki sting vumilia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] ndio tiba ya ngumu za kiume, kwani ile udindi inazibua mishipa iliyoziba mwilini na kurudisha nguvu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
 
Najuta kuacha nyeto katika maisha yangu,Mawazo yanakaribia kuniua kwa mademu niliowagonga hata kwa ndomu naona kama wamenipa HIV.NYETO IS THE SAFEST SEX IN THE WORLD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…