Nyalikanho
Member
- Sep 17, 2017
- 61
- 30
wadau habari
msaada tutani... JOB tupo kama mtu tano tunahitaji kuanzisha kikundi cha maendeleo ila tunataka kukisajili kisheria ili litakapotokea lolote kila mtu awe na haki sasa changamoto inakuja kuna vipengele vingi sana tukienda kwa mwanasheria mf. lazima uwe na physical address + P.O.BOX
je kuna mdau yeyote ana experience na hii issues tuweze kuisolve au ana mfano wa watu waliothubutu kufanya hii issue na wakafanikiwa?
HOPE NIMEELEWEKA
msaada tutani... JOB tupo kama mtu tano tunahitaji kuanzisha kikundi cha maendeleo ila tunataka kukisajili kisheria ili litakapotokea lolote kila mtu awe na haki sasa changamoto inakuja kuna vipengele vingi sana tukienda kwa mwanasheria mf. lazima uwe na physical address + P.O.BOX
je kuna mdau yeyote ana experience na hii issues tuweze kuisolve au ana mfano wa watu waliothubutu kufanya hii issue na wakafanikiwa?
HOPE NIMEELEWEKA