Kwanini kuna Wasanii hawadimu kwenye game na ni wakali sana.!?

blogger

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
12,112
Reaction score
15,060
Je ! Ni Management zao.. Ni Fedha..
Ni kutotoa hongo ktk Media Industry!? Mawazo yako mengi sana. Najua nawe una mawazo yako..

Kwa Mfano.
Benson ni nini kilimfanya asiendelee kuwa msaniii mkali kabisa!? .

Au huyu LodyMusic.. kwanini wanakuja na kuondoka.. pure talents.
Embu tuwasikilize hapa..
Benson Hauzimi..
Your browser is not able to play this audio.

Na huyu LodyMusic..
Your browser is not able to play this audio.
 
Ndugu zangu.. hao wasanii wote. Wakali kabisa washapotea kwenye game.
Naomba nifahamu tatizo ni nini!?

Je! Ni media !? Au kuna watu wanahisi wanamonoply ya bongo flavor!? Na ni kina nani hao.!?
Je ni Wasafi!? Ni Clouds Media Au ni nini!??
 
Kawaida haijaanza leo, hao wasanii wanaovuma na ngoma wanapotea wapo miaka na miaka!
Niliwahi msikia Marco Chali kwenye moja ya interview yake, alidai wasanii wengi baada ya kupata umaarufu wa ghafla huwa wanakengeuka, inawezekana sababu ni uelewa mdogo na kukosa elimu! Na alitolea mfano Chelea Man, mwanzo alikuwa fresh tu anapewa kolabo anafanya poa,ila baada ya Usiniache kuhit, jamaa akabadilika kabisa na akagombana kuanzia na meneja wake mpka producer!
 
Au tusubiri mpaka wawe na msongo wa mawazo..waanze kulewa..kula unga..
Really!??

We have to talk now!
 
Si kwa hawa nliowaleta kwenu mkuu..
Wanajiheshimu sana.
Hapana..
Tufikiri zaidi.
 
Ni kweli kwamba kuna foleni kubwa sana huko kwa Playlist..!?Radioni.!?
 
Si kwa hawa nliowaleta kwenu mkuu..
Wanajiheshimu sana.
Hapana..
Tufikiri zaidi.
Kujiheshimu tu haitoshi, hakuna mtu anaweza kumbania msanii mkali maana hizo ni hela tayari, chunguza mara nyingi msanii mwenyewe utakuta ndo mzinguaji! Nani asiyetaka kutengeneza hela hii dunia.
 
Wanashindwa kujisimamia mkuu nadhani hilo ndiyo tatizo kubwa kwa mf Rich Mavokali alivyoondoka WCB ndiyo ikawa ticket ya kupotea kimuziki ila yote na yote Muziki umejaa ushindani mkubwa

Pia kuna kitu nilikisahau nikwamba wasanii wengi walitoka kwa ngoma za kutungiwa ila walijaribu kutunga wao wenyewe walitoa Boko, nadhani hiyo nayo ni sababu mkuuu...
 
Kujiheshimu tu haitoshi, hakuna mtu anaweza kumbania msanii mkali maana hizo ni hela tayari, chunguza mara nyingi msanii mwenyewe utakuta ndo mzinguaji! Nani asiyetaka kutengeneza hela hii dunia.
Hapana..hapana na hapana tena.

Acheni unyonyaji.. nyinyi mnaomiliki media mnawafosi wasanii wawanyenyekee...
Acheni hayo mambo..

Acheni unyonyaji. Mnawastress sana young talents . Wanakata tamaa ..wanaachana na music.
 
Majina yanaenda mbali kabla hawajapata hela ya kutosha kuweza kuendesha majina yao sawa. Na msanii bila kua na hela huwezi kustahimili gem
 
Sidhani Mkuu...
Ishu ya wivu na uchawi ipo pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…