Kwanini kuna Watanzania wamechukia timu ya Taifa Lao kufuzu AFCON 2023?

Hao waliochukia ni WAJINGA. Kwenye mpira sio Kila shabiki anaujua mpira. Wengine wamo kwasababu wengine wamo.
 
Watanzania wenye chuki na mama Samia kila jema kwenye utawala wake kwao ni baya.

Waleeee.
 
Hatujafurahi sababu huko tuendako tunaenda kutia aibu taifa.
 
Wameninyima milioni nne kwa kutofungwa kwao
 
U Simba na U Yanga ni sumu! ingawa bado kuna watu wanaona ni sahihi kuendelea kuukumbatia kwa sabab za kisiasa.

Hawa S & Y walitumika enzi hizo, mbinu zao zimeshapitwa na wakati, turuhusu wawekezaji wafanye maendeleo kwenye soka, ajira zitaongezeka na soka litachangamsha Nchi na kikua zaidi

Wachache wataelewa andiko langu.
 
Lazima wachukie wamekosa stori za kubishania,,,kukandia na kukosoa kwenye vijiwe Vyao maana ndio hulka za wabongo huwaga wanasubiri makosa au ukosee tuu waanze mashambulizi na ujuaji wa hovyohovyo tuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…