Kwanini kurasa za Instagram za Mawaziri, Wizara hata Ikulu zimezuia Direct Messages (DM)?

Kwanini kurasa za Instagram za Mawaziri, Wizara hata Ikulu zimezuia Direct Messages (DM)?

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Habari wadau? Katika ulimwengu wa sasa mitandao ya kijamii imekuwa ni nyenzo muhimu katika kufikisha ujumbe kwa haraka.

Wakati mwingine jumbe hizi zinamanufaa makubwa kwa jamii ata nchi kwa ujumla. Nmejaribu kuangalia baadhi ya pages za instagram za wizara, mawaziri na hata wakuu wa wilaya pages zao haziruhusu utume ujumbe mpaka wakubali requests.

Nimetuma request zaidi ya miezi minne request hizo hazijawahi kusomwa hii inamaana sitaweza kufikisha ujumbe kusudiwa.

Nashauri licha ya viongozi na wizara kupost maswala yao kwenye social media waruhusu pia wananchi kuinteract nao.
 
Itakuwa wanakwepa usumbufu maana wanajua wananchi wao wengi ni masikini na watovu wa ustaarabu.

Cheki mawasiliano yao kwenye tovuti ya bunge.

Mi nikiwa mwanafunzi wa chuo early 2010s, niliwahi kuwasiliana na waziri wa elimu wa enzi hizo kuhusu jambo fulani na akaitikia vizuri tu.

Sijui kama bado wanaweka namba zao huko.
 
Itakuwa wanakwepa usumbufu maana wanajua wananchi wao wengi ni masikini na watovu wa ustaarabu.

Cheki mawasiliano yao kwenye tovuti ya bunge.

Mi nikiwa mwanafunzi wa chuo early 2010s, niliwahi kuwasiliana na waziri wa elimu wa enzi hizo kuhusu jambo fulani na akaitikia vizuri tu.

Sijui kama bado wanaweka namba zao huko.
Namba walizoweka hazipatikani.
 
Habari wadau? Katika ulimwengu wa sasa mitandao ya kijamii imekuwa ni nyenzo muhimu katika kufikisha ujumbe kwa haraka.

Wakati mwingine jumbe hizi zinamanufaa makubwa kwa jamii ata nchi kwa ujumla. Nmejaribu kuangalia baadhi ya pages za instagram za wizara, mawaziri na hata wakuu wa wilaya pages zao haziruhusu utume ujumbe mpaka wakubali requests.

Nimetuma request zaidi ya miezi minne request hizo hazijawahi kusomwa hii inamaana sitaweza kufikisha ujumbe kusudiwa.

Nashauri licha ya viongozi na wizara kupost maswala yao kwenye social media waruhusu pia wananchi kuinteract nao.
una tatizo gan
 
Wana idara mbali mbali za kushughulikia matatizo na maoni ndo maana wanazuia huko dm
 
Habari wadau? Katika ulimwengu wa sasa mitandao ya kijamii imekuwa ni nyenzo muhimu katika kufikisha ujumbe kwa haraka.

Wakati mwingine jumbe hizi zinamanufaa makubwa kwa jamii ata nchi kwa ujumla. Nmejaribu kuangalia baadhi ya pages za instagram za wizara, mawaziri na hata wakuu wa wilaya pages zao haziruhusu utume ujumbe mpaka wakubali requests.

Nimetuma request zaidi ya miezi minne request hizo hazijawahi kusomwa hii inamaana sitaweza kufikisha ujumbe kusudiwa.

Nashauri licha ya viongozi na wizara kupost maswala yao kwenye social media waruhusu pia wananchi kuinteract nao.
Kuna mwingine yuko busy na Hamas tu sijui kazi anafanya saa ngapi.....kutwa kuongea shit mitandaonii....
 
Back
Top Bottom