Kwanini Kwenye Huu Uzi Hakuna Option ya Reply

Kwanini Kwenye Huu Uzi Hakuna Option ya Reply

Ooh kumbe
Tusio reply sana nami nilikuwa sijainoti..
 
1717474899334.png
Hiki ndicho ninaona

1717474899334.png
 
Uzi upo kwenye jukwaa la great thinker mpaka upewe access na mods ndipo utaweza kuchangia mada, hii ni kuepusha kuandika ujinga kwenye nyuzi za maana!
Sasa tumeruhusiwaje kuingia huko kama ni kwa wakubwa?
 
Sasa tumeruhusiwaje kuingia huko kama ni kwa wakubwa?
Hujaruhusiwa unaweza kusoma tu ila huwezi kuchangia kitu, ni kama kule Whatsapp kwenye baadhi ya group only admin can send messages
 
Back
Top Bottom