Mbona mimi nina access?Nimeshangaa siruhusiwi kureply wala kukoment chochote kwenye uzi
Muungano: VP na Waziri wa Afya, hili si la Muungano. Msiliingize Kinyemela
Option ninayoruhusiwa ni ku- like tu,
Kumbe! Na mimi ni great thinker, mods wameupiga mwingi😂Uzi upo kwenye jukwaa la great thinker mpaka upewe access na mods ndipo utaweza kuchangia mada, hii ni kuepusha kuandika ujinga kwenye nyuzi za maana!
Yeah mkuu,mimi niliomba siku nyingi sana wakaniruhusu, nadhani na jukwaa la intelijensia ok ia wanafanya hivyoKumbe! Na mimi ni great thinker[emoji23]
Kwani hadi uombe? Mbona mimi sikuombaYeah mkuu,mimi niliomba siku nyingi sana wakaniruhusu, nadhani na jukwaa la intelijensia ok ia wanafanya hivyo
Sijajua kwako imekuwaje,labda umeingia by defaultKwani hadi uombe? Mbona mimi sikuomba
😂 LabdaSijajua kwako imekuwaje,labda umeingia by default
Hujaruhusiwa unaweza kusoma tu ila huwezi kuchangia kitu, ni kama kule Whatsapp kwenye baadhi ya group only admin can send messagesSasa tumeruhusiwaje kuingia huko kama ni kwa wakubwa?
[emoji1][emoji1][emoji1]Wanatubagua small thinkers