Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Awakokote tu..Wanawake wa 3some hawatongozwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awakokote tu..Wanawake wa 3some hawatongozwi
KojoNa wanatabia una kuta wana ile packt kabisa ya tissue mezani kwao, sijui wanajifutaga nini?
HahahahaOhhhh hapo ndo nmeelewa maana kwa maumbile yao trips tatu za kukojoa kisa mipombe inabidi watawaze kabisa
Ukachukua wote watatu?😂😂Umejuaje, niliondoka nao wote ila kumbe walikua watatu mwenzao alikua anabaki mezani.
Pisi zinavaa vitu vya gharama ila hamna hela, unajichukulia tu kama mafungu
Eee,pochi ya manyoyaa,Pochi zipi? Maana huwa mnaziacha mezani, au pochi manyoya?
Hio moja mnajipotezea madeal mengi. Mkiwa wawili wawili mtu anaona ngumu kumuita mmoja aliemuelewa1. Kupeana kampani (usalama) maana kunanjemba zinakuwaga active sana.
2. kama tuna vijipochi huwezi ingia nacho atakushikia.
3. Kurekebishana nguo/nywele
Upo?
Na muweka titi sawa 🤣🤣🤣🤣Kujisoap soap, kujiweka sawa, kujiangalia kwenye kioo, kama Pazuri kujisnap.
Awe na hela sasa maana muhimu hapo ndalama.Awakokote tu..