Copy and Paste from FacebookWanazengo kama na nyinyi mmegundua hilo hebu tupeane taarifa ni kwanini?
Maono yako wakati umedesa Facebook?swali haimaaninshi ninaingia ila ni maono yangu...
😅mleta mada ana roho ngumu kama paka,mimi hua siingii salon za kike wala kuzikaribia,kuna siku nilimfata mtu aise niliangaliwa mpaka nikawa naogopaKwamba wote humu tunaingia saluni? Tena za kike? Heshima imeshuka humu?
mkuu mimi hayo maeneo hapana kabisa aiseeuoga wako ndo ujinga wako mdogo wangu
sina mwana ..cheki na Lucas MobutuRedio nyingi stori zao ni kama saluni tu, wanawake ni redio tosha.
Una charger.?