Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 881
- 942
🤝🤝🤝, Kunywa Misusu mkuuTabia ya mtu si ya mkoa mzima, nmeoa singida tena mnyiramba tangu 2011 till now tupo good sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝🤝🤝, Kunywa Misusu mkuuTabia ya mtu si ya mkoa mzima, nmeoa singida tena mnyiramba tangu 2011 till now tupo good sana.
Ilo kabila ni "wambulu" mkuu...ni wazuri sana lkn ukioa jua umeolea mtaaMkuu umalaya ni tabia ya mwanamke lakini kuna makabila yanazinguwa,,huwawezi
SINGIDA..
KONDOA
kuna kabila Fulani arusha hao wadada wanazinguwa sn mjini humu... Kwa kugawa MBUNYE..
Siyo Cha Kichaga..... Ndivyo kilivyo..... Amazing. Gold Kama goldDuu...wanazinguwa sana humu ,na meno yao ya gold na kiswahili chao cha chuga
Kweli mkuuIlo kabila ni "wambulu" mkuu...ni wazuri sana lkn ukioa jua umeolea mtaa
Ndivyo ilivo mkuu...hicho ndo kipimo changu.Iko kiarufu ni kutokana na kutumika ovyo bro nishakutana na vitu kma ivyo
Mkuu wanyeramba ni Washirikina saana,chunguza hako katabia.Tabia ya mtu si ya mkoa mzima, nmeoa singida tena mnyiramba tangu 2011 till now tupo good sana.
Ko vyote wanavyo? Ushirikina + umalaya, basi acha tuoe mikono yetuMkuu wanyeramba ni Washirikina saana,chunguza hako katabia.
Akiwa malaya +mshirikina=unalogwa fahamu,hata akiliwa unasahau.Ko vyote wanavyo? Ushirikina + umalaya, basi acha tuoe mikono yetu
N.k.... wachaga, wazaramo,wadigo,wanyakysa, makabila yote ya pwani, wanymwez, wanyaturu, wangoni, waha, wapemba, kusini yote. Wakuoa n MaraWanyaturu., Wambulu, warangi, wasambaa, wazigua, wapare, wahaya n.k........
Hao wengi wao si wife material.......vidude vyao havituluagi
Wewe umekosea kuandika. Lakini kwakua kiswahili ni lugha yetu tunaelewa lengo lako ulitaka kuandika nini. Hivyo tunamezea na mjadala unaendelea.Hivi mnashindwaje kuandika Kiswahili kikaekeweka!!!!??
Takwimu za ukimwi zinaonesha huko kwao ndio kwenye maambukizi madogo ya ukimwi...wambulu hao toka manyara babati
🤗🤗🤔Wewe umekosea kuandika. Lakini kwakua kiswahili ni lugha yetu tunaelewa lengo lako ulitaka kuandika nini. Hivyo tunamezea na mjadala unaendelea.
una uhakika?Tabia ya mtu si ya mkoa mzima, nmeoa singida tena mnyiramba tangu 2011 till now tupo good sana.
100%una uhakika?
nawapendaga hawa yaan hawanaga time wao kazi tu...Mi ntakuja oa moshi nawaelewaga sana ..afu wakali si mchezoOa mchaga