Sijui zinakuwa na tatizo sehem gani?Nishashuhudia discovery 4 mpya ikiungua mitaa ya makongo juu kuelekea goba
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa umechunguza. Ndio shida ya hizi bima za "buku jero"Gari yenyewe imekatiwa bima TSH 118,000/= sidhani kama service yenyewe inafanywa Kwa wakati pengine wamefanya service ya kumwaga oil Tu...
ukigoogle kwenye mtandao WA bima utaona kiasi hicho cha pesa