Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Haisumbui kabisa mkuuvipi engine yake haisumbui kama td5?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haisumbui kabisa mkuuvipi engine yake haisumbui kama td5?
We jamaa kila uki-comment uwe unanitag plz.Waasi ni wateja wazuri wa magari ya Off Road.
Angalia Libya,Syria,Lebanon, Iraq wanavyonunua gari nyingi kama Hilux au Cruiser Hard Top. Kwa ajili ya shughuli zao za kila siku.
Nna uzoefu na Freelander 1 achana na hio gari kabisa,engine zake za K-Series zinazingua mbaya kabisa.Huu uzi mtamu sana kuusoma wakuu tupieni madini.
Mimi nanatamani sana brand za Landrover, Nikaanza na Freelander ila changamoto zake zikanishinda nikapiga chini.
Nikipata hela nitarudi tena.
Uarabuni itakua chini zaidi kwa sababu kule Centre ya mafutauarabuni je??ipo chini ya hapo bila shaka
Kaka 1PZ moto wake achana nao si wa kitoto.Mjapani hii injini alitengeneza kimajaribio kwenye Land Cruiser Series 75 na akaja kuweka kwenye Toyota Coaster baadhi.1PZ sijawahi kuzielewa kwa kweli ila 13B ni ya kibabe 😂😂😂!!!
1HZ ndio mashine ya ndima kwa miaka na miaka na still anaendelea kuitumia tu hata kwenye matoleo ya 2020! Siku akikatisha production ya 70 series watu wengi tutaumia sana.
Ila 1VD sijawahi itumia japo nikafeel pulling yake ila kwa body jepesi la 70 series itakuwa ina move sio kitoto.
Hiyo gari kaweka bomba kubwa ili apate mzuka wa sauti ya injini.hilo bomba la moshi kaweka ili iweje
Land Rover injini alizotengeneza cc kubwa ni upande wa petrol tangu zamani zina 4600cc. Kwenye diesel alitamba na teknolojia ya kuwa na cc ndogo+turbo kisha ingini inakuwa na nguvu.sema Landrover hakubase sana kutengeneza engine zenye cc kubwa kama cruiser.labda kwa discovery 3 and 4
Mmmh hiyo kampuni ni ya kihindi kweli,duuh haya muzeeMie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
engine gani ya Landrover ina cc 4600?Land Rover injini alizotengeneza cc kubwa ni upande wa petrol tangu zamani zina 4600cc.
Kwenye diesel alitamba na teknolojia ya kuwa na cc ndogo+turbo kisha ingini inakuwa na nguvu.
Kuchamba kwingi kutoka na mavi.
Land Rover injini za Diesel huko Ulaya uzao wa Td200/Td 300/Td 5 zimeshindwa kukidhi vigezo vya Euro Emission. Hizo hata wakiboresha vipi zilishindwa kukidhi vigezo zinachafua mazingira mpaka zikafanya soko kwa Ulaya kuwa Gumu.
hata kwenye altezza huwa wanafanya sio?Hiyo gari kaweka bomba kubwa ili apate mzuka wa sauti ya injini.
Hiyo haijafanyiwa tunning yoyote, jamaa jioni nilikuwa namuona akirudi nayo kuelekea Kimara inatia hamasa kwa sauti ukiwa nyuma.
Huyu bwana fundi wa malori ni mbunifu.
Mkuu yangu ni Freelander 1 ni gari nzuri ukiwa nayo road very powerful na ina balance sana,Nna uzoefu na Freelander 1 achana na hio gari kabisa,engine zake za K-Series zinazingua mbaya kabisa.
Wadau wengi kwny Freelander1 wametoa engine yake wakapachika 3S ya Rav 4.
Freelander 2 hio ndio sina uzoefu nayo so siwezi ku-comment chochote boss.
Mkuu yangu ni Freelander 1 ni gari nzuri ukiwa nayo road very powerful na ina balance sana,
Niliweka engine ya 3s Rav 4 kidogo angalau ila changamoto ni kuvunja ma bush na spear zingine asee hizi gari zinahitaji matunzo sana.
Land Rover ana injini za V8 petrol mpaka ya 5000cc. Hizo nyingi zipo kwenye Land Rover Defender na Range Old Model.engine gani ya Landrover ina cc 4600?
Diesel kuna pipe zinakufaga kila wakatiDiesel vipi?
mkuu alwals hiz gari unaacha ziaccelarate zenyewe ukiforce lazima zile mafuta natumia mimi V8 lita moja kwa km 9 .sema zile za V8 nasikia mafuta sio kitoto
Katika discovery nazokubali ni discovery 2 V8! Ile mashine ukiiwasha tu sound lake ni noma na nusu. I feel like its the best sounding v8 engine pamoja na ile ya Range Rover P38 4.6 HSE
Wanakupasua maini ju kwa juhaina upambe hio ukizingua mjegejo tu🤣🤣🤣
HSE unyamaNilikuwa natazama tu, uzi wote unatembea bila kutaja Range Rover HSE 😃😃
Hiki kitu naielewa sanaa ..HSE unyama
lazima nitafute engine hiyo?Land Rover ana injini za V8 petrol mpaka ya 5000cc. Hizo nyingi zipo kwenye Land Rover Defender na Range Old Model.
Land Rover Defender na Range old model zenye V8 ndio watu hutumia kuchezea rally.
Kama utahitaji kuzijua kiundani kuna jamaa wapo Arusha wanaizo Range Old model wanachezea rally, Tanga yupo Bahoza ana dude kama hilo.