Kwanini lawama kwa HESLB tu.

Kwanini lawama kwa HESLB tu.

Ipo sababu ya kuwa na wasiwasi na akili yako kwa hii thread, wewe ni mwanaharamu tena maskini wa mawazo, wewe ni mwendawazimu na kama ulipata mkopo basi mchawi, kama unaona huo ulimbukeni wako ni strength upo uchi kiakili na ni taahira mwisho wako ni mkosi tu. Nakuabuse kwa sababu huna utu, HAIWEZEKANI WENZIO TUNALIA we unatoka na maneno machafu kama umelala chooni ,msyuuuu!!!!!!
khooo ptuu!
 
Mkuu sio kwamba Bodi(serikali) haina uwezo wa kutulipia.. Bali ni system imekuwa corrupt kila mtu anajineemesha mwenyewe. Angalia mabilioni yaliyofichwa uswis yameongezeka kutoka dola bilion 3. Had kufikia 5.bilion kwakipindi cha mwaka 1... Nan alaumiwe??
 
Naona vijana waliokosa mikopo wanawatupia lawama board kwa kushindwa kuwapa mikopo ili waweze kusoma, najua wengi wanafanya hivyo wakiwa na uchungu toka moyoni kwani kuna wengi watakosa fursa ya kuingia chuo na kutimiza ndoto zao ila kwa wale wenye wazazi wote wawili kumbukeni kuwatupia lawama hizo kwa kushindwa kuwawekea mazingira mazuri ya kuwapatia elimu pasipo stress na iwe fundisho kwenu ninyi na watoto wenu muweze kuandalia mazingira mazuri ikiwemo kusoma bila kutegemea mkopo,NIMEMALIZA.

Bwabwa Kweli wewe
 
Naona vijana waliokosa mikopo wanawatupia lawama board kwa kushindwa kuwapa mikopo ili waweze kusoma, najua wengi wanafanya hivyo wakiwa na uchungu toka moyoni kwani kuna wengi watakosa fursa ya kuingia chuo na kutimiza ndoto zao ila kwa wale wenye wazazi wote wawili kumbukeni kuwatupia lawama hizo kwa kushindwa kuwawekea mazingira mazuri ya kuwapatia elimu pasipo stress na iwe fundisho kwenu ninyi na watoto wenu muweze kuandalia mazingira mazuri ikiwemo kusoma bila kutegemea mkopo,NIMEMALIZA.
ujue kabisa wewe unaishi kwa neema ya Mungu, pili ujue wewe ni marehemu mtarajiwa wakati wowote utaicha familia yako wanao watateseka hata kama muda huu una maisha mazuri, uwe na adabu na heshima kwani maisha hubadilika wakati wowote.
 
Naona vijana waliokosa mikopo wanawatupia lawama board kwa kushindwa kuwapa mikopo ili waweze kusoma, najua wengi wanafanya hivyo wakiwa na uchungu toka moyoni kwani kuna wengi watakosa fursa ya kuingia chuo na kutimiza ndoto zao ila kwa wale wenye wazazi wote wawili kumbukeni kuwatupia lawama hizo kwa kushindwa kuwawekea mazingira mazuri ya kuwapatia elimu pasipo stress na iwe fundisho kwenu ninyi na watoto wenu muweze kuandalia mazingira mazuri ikiwemo kusoma bila kutegemea mkopo,NIMEMALIZA.

hata sijui nianzie wapi kukutukana...........*****
 
ushauri wako upo sawa ila uutumie kama point ya kujibia mtihani labda, coz kwa real life hamna iyo kitu.. hata ivo uo ni mkopo sio tunaombaomba msaada tu tunaurudisha hatupewi bure, so ni sawa na kujilipia tu, kua na wewe tuone utakavolipia wanao..
 
Back
Top Bottom