Kwanini lawama kwa HESLB tu.

Ipo sababu ya kuwa na wasiwasi na akili yako kwa hii thread, wewe ni mwanaharamu tena maskini wa mawazo, wewe ni mwendawazimu na kama ulipata mkopo basi mchawi, kama unaona huo ulimbukeni wako ni strength upo uchi kiakili na ni taahira mwisho wako ni mkosi tu. Nakuabuse kwa sababu huna utu, HAIWEZEKANI WENZIO TUNALIA we unatoka na maneno machafu kama umelala chooni ,msyuuuu!!!!!!
khooo ptuu!
 
Mkuu sio kwamba Bodi(serikali) haina uwezo wa kutulipia.. Bali ni system imekuwa corrupt kila mtu anajineemesha mwenyewe. Angalia mabilioni yaliyofichwa uswis yameongezeka kutoka dola bilion 3. Had kufikia 5.bilion kwakipindi cha mwaka 1... Nan alaumiwe??
 

Bwabwa Kweli wewe
 
ujue kabisa wewe unaishi kwa neema ya Mungu, pili ujue wewe ni marehemu mtarajiwa wakati wowote utaicha familia yako wanao watateseka hata kama muda huu una maisha mazuri, uwe na adabu na heshima kwani maisha hubadilika wakati wowote.
 
Ka kweli ni mzalendo U didn't show love 4 us wahanga na bod kabisa
Then God bless U
Coz no 1 iz perfect one day bro utajikwaa az sisi nau

msameheni uyu...... ana roho mbayaAaaaaa kama paka...
 

hata sijui nianzie wapi kukutukana...........*****
 
ushauri wako upo sawa ila uutumie kama point ya kujibia mtihani labda, coz kwa real life hamna iyo kitu.. hata ivo uo ni mkopo sio tunaombaomba msaada tu tunaurudisha hatupewi bure, so ni sawa na kujilipia tu, kua na wewe tuone utakavolipia wanao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…