Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kucheza ndombolo….Ya wakongo yatamalizwa na wakongo wenyewe
Hao ni WaFaransa wakimtumia Kagame..Yani wanataka jeshi liweke silaha chini😔View attachment 3214074
Exactly, ni kama Nyerere alivyomfuata Idd Amin hadi Chumbani kwake. Shida hao M23 ni Wafaransa wanaomtumia Kagame kupora utajiri wa DRCCongo nchi kubwa lakini inashindwa kulinda mipaka yake vema. Waasi na wavamizi wanajichukulia vipande watakavyo. Congo ilitakiwa iwafagie M23 mpaka kwa anayewafadhili, wanamjua. Kinshasa tu ndio kuna usalama lakini maeneo mengine hali ya usalama ni tete
Labda wamsavimbiBaba yao Kagame yupo hai
Wale sio burundi kweli?Ni waasi wa muda mrefu, hivi wale F DEDE na N DEDE waliishia wapi
Ndio wanaoongoza nchi ya BurundiWale sio burundi kweli?
Unaweza kuthibitisha uwepo wa ufaransa ndani ya m23 au ndiyo store za kwenye kahawaExactly, ni kama Nyerere alivyomfuata Idd Amin hadi Chumbani kwake. Shida hao M23 ni Wafaransa wanaomtumia Kagame kupora utajiri wa DRC
Sila za kivita zinazotumika na M23 ni brand ya Ufaransa, zinatengenezwa Ufaransa.., mfano rocket launcher wanazo za kisasa kabisa, na baadhi zilikamatwa na Tshekedi.., unataka wadhibitishe vipi tena.., pia panapotokea machafuko ya M23, mauzo ya Madini nje ya nchi ya Rwanda huwa yanapaa kwa 200% , madini ambayo Rwanda hayapatikani, mfano Cobalt na Tantulum.., hiyo maana yake nini? Na refinery destination ya hizo exports ni Ufaransa, hiyo maana yake nini?Unaweza kuthibitisha uwepo wa ufaransa ndani ya m23 au ndiyo store za kwenye kahawa