Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi huyo jamaa ???
Dah mi siwezi mwanaume ni mwanaume tu hata kama ni functionless. Shule niliyosoma kuna wadada majike dume wanapapasa wenzao tulikua hatuvalii nguo mbele yake aisee.Nimesoma na mkaka shoga tulikuwa tunakaa naye pamoja hostel tunavua nguo yupo mpaka tunalala wrote tunamficha matron asimuone muda ukienda analala kwetu tunamuwekea godoro chini analala wana roho nzuri story kwa sana halafu alikuwa anatwambia yeye hawezi ...yake haisimami alikuwa peace sana muda mwingi tulishinda Naye sisi halafu pia ni model ana design nguo
Mboli ndio Nini?? AiseeeIla tuacheni utani mboli ni tamu acha tu wanaume nao watamani wafigiswee
Kuna pozi nimeliona la kaoge nimekufa mbavuuu kajibinua takko huyoo
Madesigner wako wengi usihusishe madesigner wote-kuna designers wa magari,simu etc etc.....specify acha ku-generaliseHabari zenu wadau.
Naomba niulize hili swali ni kwanini ma - designer wengi ni mashoga au kama si mashoga basi wamekaa kiulainilaini, kiasi kwamba huwatofautishi na hicho wanachotuhumiwa nacho ?????
Karibu tujadiliane.
Daah jeans zake ni kali balaa..Hadi huyo jamaa ???
Watanzania wengi uelewa wao ni mdogo,wavivu wa kufikiri,hawawezi kuchanganua mambo,hawajisomei kuongeza uelewa wao, hawawezi kutofautisha hata baadhi ya vitu rahisi kabisa mfano tofauti kati ya nyani ngedere na tumbili nimeona hilo hata katika uzi wako unashindwa kuelewa kuwa kuna designers aina nyingi.Angalia jukwaa uliloingia kijana.
Sasa ndugu, wewe mwenye uelewa unashindwaje kujua hili ni jukwaa la UREMBO, MITINDO NA UTANASHATI .............. Halafu utegemee nizungummzie ma - designer wa nyumba, kweli utakuwa upo vizuri kichwani wewe ???Watanzania wengi uelewa wao ni mdogo,wavivu wa kufikiri,hawawezi kuchanganua mambo,hawajisomei kuongeza uelewa wao, hawawezi kutofautisha hata baadhi ya vitu rahisi kabisa mfano tofauti kati ya nyani ngedere na tumbili nimeona hilo hata katika uzi wako unashindwa kuelewa kuwa kuna designers aina nyingi.
Daah ! sorry mkuu nimetoka kugonga SHISHA hii Kitu kweli HATARI bora waizuie tu ,nianze kunywa MTINDI nijenge MWILI.Mkuu hata wewe hujui upo jukwaa gani ???
Bado haikupi ufunguo wa ku-generalise .....ila kama umeamua,endelea kung'ang'ania jukwaa jukwaa.Sasa ndugu, wewe mwenye uelewa unashindwaje kujua hili ni jukwaa la UREMBO, MITINDO NA UTANASHATI .............. Halafu utegemee nizungummzie ma - designer wa nyumba, kweli utakuwa upo vizuri kichwani wewe ???
Dolce & Gabbana...
Tom Ford...
Michael Kors.
Acha kutumia na kompyuta