G - The Apostle
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 599
- 1,125
Kwa sababu wanaoongoza ni Freemason
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe mwendakuzimu aliweka tunaini lake kwa jeshi na polisi badala ya Mungu lorona ikamchukuakiongozi anayejihami kwa polisi na wanajeshi ni kiongozi dhaifu, wenzake wanakuja na hoja wao wanaleta polisi?
kazi ya polisi ilitakiwa kuyalinda maandamano na kuzuia uvunjwaji wowote wa sheria kwa waandamanaji hao, ikiwemo vibaka kujichanganya na kuibia watu. ila kutumia polisi kuwatisha wanasiasa wenzaki halafu kesho unasimama kanisani na kusema uombewe, ni UZWAZWA... ni muda wanasiasa wajue nchi ni mali ya kila mtanzania, na demokrasia inasema wengi waamue na wachache wasikilizwe, sasa kama lichama likubwa la ccm linaogopa movement za amani za kichama kinachojifia CHADEMA, ni aibu hata kujisifu na mama yenu
Kakojoe ulale...tutaandamanaKama ni maandamano ya amani tunafanyaga kila siku kwenda kazini na kurudi, tunajaa kwenye magari na mabus na mwendokasi na boda boda na kwa mguu: hayo ni maandamano ya amani hatumgusi mtu. Hii ya sasa ni vurugu na matusi na kero za njia, haikubaliki.