kiongozi anayejihami kwa polisi na wanajeshi ni kiongozi dhaifu, wenzake wanakuja na hoja wao wanaleta polisi?
kazi ya polisi ilitakiwa kuyalinda maandamano na kuzuia uvunjwaji wowote wa sheria kwa waandamanaji hao, ikiwemo vibaka kujichanganya na kuibia watu. ila kutumia polisi kuwatisha wanasiasa wenzaki halafu kesho unasimama kanisani na kusema uombewe, ni UZWAZWA... ni muda wanasiasa wajue nchi ni mali ya kila mtanzania, na demokrasia inasema wengi waamue na wachache wasikilizwe, sasa kama lichama likubwa la ccm linaogopa movement za amani za kichama kinachojifia CHADEMA, ni aibu hata kujisifu na mama yenu