Pre GE2025 Kwanini maandamano yoyote Tanzania yanatafsiriwa ni umwagaji damu hata yawe ya kupinga ufisadi wa mali za umma?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jiwe mwendakuzimu aliweka tunaini lake kwa jeshi na polisi badala ya Mungu lorona ikamchukua
 
Kama ni maandamano ya amani tunafanyaga kila siku kwenda kazini na kurudi, tunajaa kwenye magari na mabus na mwendokasi na boda boda na kwa mguu: hayo ni maandamano ya amani hatumgusi mtu. Hii ya sasa ni vurugu na matusi na kero za njia, haikubaliki.
Kakojoe ulale...tutaandamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…