Kwanini madada wa CRDB wamepunguza maringo?

Kwanini madada wa CRDB wamepunguza maringo?

mimi kama mdada mwaka huu umekuwa na mafanikio sana kwangu.kuhusu maisha sijui kusoma namba nasoma tu humu
masponsor wapo tu kama umeandikiwa haitaji nguvu wala nini.namba mtazisoma nyie wanaume .wanaume wachoyo ndo mnavojipa moyo hivo ila jua wewe ukibana wenzio wanaachia mchana kweupe
Duuh ila wanaoachia ni wanawake bhna wanaume tunawekeza tuu
 
mimi kama mdada mwaka huu umekuwa na mafanikio sana kwangu.kuhusu maisha sijui kusoma namba nasoma tu humu
masponsor wapo tu kama umeandikiwa haitaji nguvu wala nini.namba mtazisoma nyie wanaume .wanaume wachoyo ndo mnavojipa moyo hivo ila jua wewe ukibana wenzio wanaachia mchana kweupe
Kwani wewe unaishi kwa mizinga kikosi maalum cha pangawe jeshini.
 
unaonga ili iweje, au upate nini!

Na kwanini ujiweka kuhongwa hongwa..! Hujiwezi, huna akili timamu, wewe ni cheap, wewe ni bidhaa.. kwanini ukubali kuhongwa...? Nakuuliza wewe Miss Nafatufa
miss natafuta toa majibu sasa!
 
mimi kama mdada mwaka huu umekuwa na mafanikio sana kwangu.kuhusu maisha sijui kusoma namba nasoma tu humu
masponsor wapo tu kama umeandikiwa haitaji nguvu wala nini.namba mtazisoma nyie wanaume .wanaume wachoyo ndo mnavojipa moyo hivo ila jua wewe ukibana wenzio wanaachia mchana kweupe
Unanikoshaga sana muda mwingine.
Sidhani kama kuna anayekuweza humu.
 
ok anza basi!
Na hongwa kwa kuwa Naturally Mwanamke kaumbiwa kupewa, haswa kupewa na Mwanaume
Mungu alimuumba Adam akaona Adam hatoshi akamuumba Hawa ili adamu atoe ubavu wake ampe Hawa.......
Dunia ilipotakiwa kujaa iongezeke ndipo Mwanaume akatakiwa kutoa sperm zake ampe mwanamke ili azitunze katika tumbo lake hadi kiumbe kingine kitakapotimiza siku za kuja Duniani
Na ndivyo hivyo hata sasa mnatakiwa kutoa ela mtupe maana Mungu aliagiza hivyo!
 
mimi kama mdada mwaka huu umekuwa na mafanikio sana kwangu.kuhusu maisha sijui kusoma namba nasoma tu humu
masponsor wapo tu kama umeandikiwa haitaji nguvu wala nini.namba mtazisoma nyie wanaume .wanaume wachoyo ndo mnavojipa moyo hivo ila jua wewe ukibana wenzio wanaachia mchana kweupe
tumekusikia tutakufikia
 
Kuna madada wawili watatu nawajua ambao walikuwa na maringo balaa siku za nyuma lkn oversudden nawaona wanabadilika kwa kasi ya 4G.

1.Mfano kuna mmoja nilisoma nae siku za nyuma,alikuwa montress alikuwa hanipendi balaa yaani kwa siku alikuwa ananiandika mara tatu swahili speaker lkn cha ajabu jana ananitumia txt eti MSAGA SUMU hivi unajua nilkuwa nakukubali tokea siku ya kwanza.

2. Kuna dada mwingine alikuwa CRDB kijitonyama kaunta,niliwahi kumuomba chenji ya buku 10,aisee aliniangalia jicho baya halafu akaniambia niende kwenye ATM kuchukua chenji, basi leo nimeenda na mishe zangu zingine ile kuniona tu akaniwahi kaka unahitaji chenji? Nikisema tayari nimeisha chenji kwenye ATM.

Wadau hii hali inaweza kuwa inasababishwa na hasara zinazopata hizo benki au vipi? Au ndo wanajua kuwa kuna layoff za maana inafuata so wanaanda mazingira mazuri ya sisi madalali kuuza magari yao ya mkopo?

Au kuna kitu kingine mimi sikijui?
Vyuma mkuu hakuna kingine
 
Jamani jamani usinkumbushe... Walinifanyaga mpaka nikafungua akaunt benk nyengine
 
Back
Top Bottom