Kwanini madada wa CRDB wamepunguza maringo?

Duuh ila wanaoachia ni wanawake bhna wanaume tunawekeza tuu
 
Kwani wewe unaishi kwa mizinga kikosi maalum cha pangawe jeshini.
 
unaonga ili iweje, au upate nini!

Na kwanini ujiweka kuhongwa hongwa..! Hujiwezi, huna akili timamu, wewe ni cheap, wewe ni bidhaa.. kwanini ukubali kuhongwa...? Nakuuliza wewe Miss Nafatufa
miss natafuta toa majibu sasa!
 
Unanikoshaga sana muda mwingine.
Sidhani kama kuna anayekuweza humu.
 
ok anza basi!
Na hongwa kwa kuwa Naturally Mwanamke kaumbiwa kupewa, haswa kupewa na Mwanaume
Mungu alimuumba Adam akaona Adam hatoshi akamuumba Hawa ili adamu atoe ubavu wake ampe Hawa.......
Dunia ilipotakiwa kujaa iongezeke ndipo Mwanaume akatakiwa kutoa sperm zake ampe mwanamke ili azitunze katika tumbo lake hadi kiumbe kingine kitakapotimiza siku za kuja Duniani
Na ndivyo hivyo hata sasa mnatakiwa kutoa ela mtupe maana Mungu aliagiza hivyo!
 
tumekusikia tutakufikia
 
Kumamamake wallah maisha haya,basi tu.
 
Vyuma mkuu hakuna kingine
 
Jamani jamani usinkumbushe... Walinifanyaga mpaka nikafungua akaunt benk nyengine
 
Mimi huwa nahudumiwa freshi tu hasa hasa nikikuta mdada, na kuna mmoja nilimkosa kosa kumla bahati yake yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…