Salama Members ?
Najiuliza sana ni kwa nini madactari walio wengi huwa hawaamini kuwepo malaria sugu ?
Yaani mgonjwa anatumia dose kamili tena baada ya kuthibitisha kuwa anao parasites wa malaria, lakini baada ya wiki tatu ni mgonjwa tena na kuthibitisha kwa kupima vile vile ,
Anaamua kubadili dawa na kukamilisha dose bado yana jirudia yale yale kila baada ya wiki tatu hadi mwezi miaka nenda rudi ?
Ni nini ushauri wenu ?
Malaria sugu inanitesa! Dawa gani itanipa tiba ya kudumu?
MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS
Najiuliza sana ni kwa nini madactari walio wengi huwa hawaamini kuwepo malaria sugu ?
Yaani mgonjwa anatumia dose kamili tena baada ya kuthibitisha kuwa anao parasites wa malaria, lakini baada ya wiki tatu ni mgonjwa tena na kuthibitisha kwa kupima vile vile ,
Anaamua kubadili dawa na kukamilisha dose bado yana jirudia yale yale kila baada ya wiki tatu hadi mwezi miaka nenda rudi ?
Ni nini ushauri wenu ?
Malaria sugu inanitesa! Dawa gani itanipa tiba ya kudumu?
MALARIA ! MALARIA ! MALARIA ! @ mwezi ,for 20yrs , MUHAS-msaada, Zawadi shs 2mln.MUHAS