kwikwiiii! Jamani si panapo ile raha ya ukweli (g.spot) si ya kufake.
ha ha ha. :spit:givu ha ze wota shi eksipiriensi sam kwikwi
kumbe zipo za ku fake?
zipo sanaaa. Huzijui?
kumbe zipo za ku fake?
kwahiyo sam taim tuchunguze vilio vingine sio!!!!!!
halaf hizo ndo nyingi kuliko orijino. Unakuta mdada umempita pembeni pembeni tu anajifanyaga kupiga makelele kama radi ya kigoma kumbe wizi mtupu. 2011 sidanganyiki.
of coz yes,saa ingine inabid ufanye hivyo kuapreshiet juhudi ya mwenzio.
mi nishawahi kupigwa kabali hiyo!!! Mh inawezekana alikuwa analipizia...bifu
mi nishawahi kupigwa kabali hiyo!!! Mh inawezekana alikuwa analipizia...bifu
ai jamani inawezekana ilikuwa ya kweli bana.
na nyie samtaims huwa mnatudanganya,
sisi tunadanganya kwenye kutongoza, nyinyi mnamalizia kwenye orgasm na reproduction. ndo maana wanawake wengi wanapasi baioloji. khaa!na nyie samtaims huwa mnatudanganya,
hivi mwanamume anaweza ku fake?
sisi tunadanganya kwenye kutongoza, nyinyi mnamalizia kwenye orgasm na reproduction. ndo maana wanawake wengi wanapasi baioloji. khaa!
sisi tunadanganya kwenye kutongoza, nyinyi mnamalizia kwenye orgasm na reproduction. Ndo maana wanawake wengi wanapasi baioloji. Khaa!
heheheh dah! hii imeongeza umri wangu. hapo kama msimamizi ni mim namruhusu tu akopie halaf akimaliza namwambia nataka nisibitishe jawabu kama kapatia au kakosea. reference ya jawabu itahitaji aoneshe orijino ikoje.umenikumbusha mkuu kwenye mtihani wa baiolojia tuliambiwa tuchore female sexual organ
sasa kuna mkike mmoja tukamfuma anafungua sketi basi jamaa yangu mmoja alikurupuka huyo.....she iz koping from ze orijinooooo!!!
umenikumbusha mkuu kwenye mtihani wa baiolojia tuliambiwa tuchore female sexual organ
sasa kuna mkike mmoja tukamfuma anafungua sketi basi jamaa yangu mmoja alikurupuka huyo.....she iz koping from ze orijinooooo!!!
heheheh dah! Hii imeongeza umri wangu. Hapo kama msimamizi ni mim namruhusu tu akopie halaf akimaliza namwambia nataka nisibitishe jawabu kama kapatia au kakosea. Reference ya jawabu itahitaji aoneshe orijino ikoje.
hahaa, hii kali, mngemwambia mchizi apige kimya ili nanyi mpige chabo kwa binti mchore vizuri.