Kwanini mademu waoga kuhoji kulikoni?

duh kibra tena!yani mi kitoweo?makubwa haya
 
Ngoja nifikirie kwanza maana mie nikipenda naingia mzima mzima miguu, mikono hadi kichwa nazama kabisa sionekani

Thawa,most welcome,anytime!!
Bacha wetu yuko fit..................lol:smile-big:
 
Mbona mmesahau mada kuu? Kwann mademu hawahoji kupotezewa?
 
Huyu Hashy nae Dena,namfikiria katika zile siku utakazokuwa na Bacha niwe nampa nafasi yeye!!!

Ila taratibu Michelle,
mi sometimes wivu wangu mbaya,
yaani uwe unaenda kwa hashy mi nakutizama tu, .........du!!!!!!!
 
Ila taratibu Michelle,
mi sometimes wivu wangu mbaya,
yaani uwe unaenda kwa hashy mi nakutizama tu, .........du!!!!!!!

Sasa wewe naona unaanza kuchemsha wewe wako wangapi yeye mmoja tu wivu??
 
staki kuwa spair tairi mie......

Sawa Hashy nimekusikia,ningejua ningefanya siri huu mdomo umeniponza kwa mara nyingine......mshika mawili...........:crying:

Nashukuru bado Bacha ananipenda sijui ningekuwa mgeni wa nani,kukataliwa na Hashy na huku nako nikataliwe...........:smile-big:
 
Ila taratibu Michelle,
mi sometimes wivu wangu mbaya,
yaani uwe unaenda kwa hashy mi nakutizama tu, .........du!!!!!!!

Hashy amesema hawezi kuwa spare tyre,so mimi kule basi tena,tutabanana hapo hapo na Rose na Dena pia kama atakubali!!!
Ujue mi sipendi kutoka ila sometimes nakuwa lonely!!!
 
Atakuulizaje tena na anaona disko kashaingia mmasai.
 

we huyo atakuwa ametoka sitimbi me nakuhoji mpaka unakoma,
na utajutaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…