we huyo atakuwa ametoka sitimbi me nakuhoji mpaka unakoma,
na utajutaaaaaaaa
Hashy amesema hawezi kuwa spare tyre,so mimi kule basi tena,tutabanana hapo hapo na Rose na Dena pia kama atakubali!!!
Ujue mi sipendi kutoka ila sometimes nakuwa lonely!!!
Ndo maana nakupenda michelle wangu,
najua hao wengine wanakuzingua tu
Nashanga!!!
Mkuki kwa nguruwe...........mmmh!
Hongereni ila mimi bado najifikiria kwanza
we huyo atakuwa ametoka sitimbi me nakuhoji mpaka unakoma,
na utajutaaaaaaaa