Kwanini mademu waoga kuhoji kulikoni?

Hashy amesema hawezi kuwa spare tyre,so mimi kule basi tena,tutabanana hapo hapo na Rose na Dena pia kama atakubali!!!
Ujue mi sipendi kutoka ila sometimes nakuwa lonely!!!

Ndo maana nakupenda michelle wangu,
najua hao wengine wanakuzingua tu
 
Nashanga!!!

Mkuki kwa nguruwe...........mmmh!

si unajua kuwa michelle,
hata kama kizuri ule na nduguyo,
lakini kwako mama, moyo unakuwa mgumu kukuruhusu uende ugenini!!
 
Sio wote wengine ni watata ile mbaya!!
 
we huyo atakuwa ametoka sitimbi me nakuhoji mpaka unakoma,
na utajutaaaaaaaa

halafu wewe.........(hiyo avatar)
unajua najaribu kujiuliza, hivi kumbe,
kabla joyce hujaenda kwenye mechi (6 kwa 6),
unaanza kwanza kwa kupasha misuli moto eeeeh?
 
Naomba nipingane nawe.........kama nimeanza kupenda nitamwambia tu.........lakini wanaume wa siku hizi wamekuwa hata kusoma nyota hawajui.
sasa kama ulikuwa unanitokea........nikawa natoa nje kiaina......then nikaanza kuingia line, sasa unapochapa lapa halafu ukaona nimeanza mm kukupigiapigia na kuku-text hovyohovyo huwezi kuona kuwa nataka u-take action?
tatizo lenu mnapenda mtongozwe mpate story mtaani kuwa unamjua yule demu, kanitongoza/kajileta mwenyewe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…