Kwanini Mademu wengi wakali ninao wafahamu hawaijui JF?

Kwanini Mademu wengi wakali ninao wafahamu hawaijui JF?

Cheka tu mtu special frani yaani maarumu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Mkuu hao hawajui Jf coz hku hakuna show off za at Serena hotel enjoying the weekend wala at at Jk Airport.
This is Jf bhna.
Tukianza kupost location na picha tutaogopana humu. Tuendelee kubaki anonymous tuu
 
Jf ingekuwa inasomwa mpaka na wale wajinga waliojazana kule fesibuku basi kungekuwa na madiliko wakubwa sana ya kifikra.

Kinachofanya watu wasiopenda jf ni kuwa mapichapicha hamna kwa sana. Ni mwendo wa kusoma. Na mjinga ukitaka kumyima ufahamu weka kwenye maandishi.
 
Mie nawazoom tuu wanaoijua lakini hawajui
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom