Phenomenal woman
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 334
- 654
Tukianza kupost location na picha tutaogopana humu. Tuendelee kubaki anonymous tuuMkuu hao hawajui Jf coz hku hakuna show off za at Serena hotel enjoying the weekend wala at at Jk Airport.
This is Jf bhna.
Basi umetokerezea. Sema nini tupia picha tuuuasanteeeee,,,, hapa kijiweni kwanguuu nimepigia.....ntakutumia hahahah........... ntatuma we muache mwenye uzi huu
naona unantibua hahah naomba uniache,Basi umetokerezea. Sema nini tupia picha tuuu
hahahahahahaha!!!!Ulikua maarumu tu kwa watu wa humu ila nabaki na majibu yangu maarumu
Hahahahaha Hahahahaha huku watu maarumu tu, hukuti ndezi huku .
Si unajua wanaume mna roho ngumu. Na ubaya wetu mnatugegeda hivyo hivyo.Cha ajabu wengine wanatoa ushuhuda was kugegeda humu kila kukicha
Waraaaanaona unantibua hahah naomba uniache,
kwan kugegeda hadi mtu awe mzuriii basiiiiiii .......!Cha ajabu wengine wanatoa ushuhuda was kugegeda humu kila kukicha
Waraaaa
Najua mpenzi.Thanks honey ila si wajua uzuri wa mtu uko kwa mtu eeh. Waeza ukaniona niko vizuri kwa mwingine nikawa mbaya tu
WazuriKwahiyo sisi ndo wabaya eeh
Anhaaa. Nikajua sisi ndo wenye sura za babaWazuri