Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Aiseeee.
hii imentokea mm, tunachorana tu [emoji20]Jf tamu sana...mnaweza kukutana wana jf ila msijuane hata mmoja
bila shaka huu ndio ufananio wa muonekano wako....maana hiyo App ya bitstrip/bitmoji wengi hujitengeneza kulingana na muonekano wao.
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
kweli kabisabila shaka huu ndio ufananio wa muonekano wako....maana hiyo App ya bitstrip/bitmoji wengi hujitengeneza kulingana na muonekano wao.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Jf sio popular kwakweli, sijui kwanini, hata ninapofanyia kazi nikizungumzia jf hawanielewi.
Ila mkuu mbona kama umetutupia dongo sie tulofanana na babu zetu!!
Amen.Ni popular kwa "Great Thinkers" na wenye "Fikra Pevu"!!
Uko kama mimi aiseeMimi pia sijawahi kukutana na Mtu aliyopo jf. Sasa najiuliza vipi wenzangu ninyi mnaishi wapi?
MamboHata mi nashanga ninapo fanyia kazi tuko Kama wawili wenye app ya JF alafu huyu mwenzangu haja ji register mpaka najilizaga hili swali
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupendane tuu mpenzi hakuna namnaYani ndo maana nakupendaga
hata mimi mkuu sijawahi kumuona/kukutana na mwanaJf sijui waliomo humu wanaishi wapi!!!Mimi pia sijawahi kukutana na Mtu aliyopo jf. Sasa najiuliza vipi wenzangu ninyi mnaishi wapi?
Kwa nini tena?Aiseeee we mbaya wewee!!
hahaha atajuta kuwafaham mashemeji! mashemeji wenyewe ni wadada wa mujini hatar tupuu! mnamsuta huku mmevaa miwani na lipstic za huda juuu huhu! lazima ajute kunioa
Hahahaaaaa!!
Kumbe vinaweza kutumika kama silaha pia! Safi sana.
tehh teh! wanawake tunaweza
Huku hamna soko la picha... Huku ni maneno. Huku personality ndo ina-determine position yako. Huku popularity inakuwa ni product ya mind.
THATS WHY!
Sent using Jamii Forums mobile app