Kwanini Mademu wengi wakali ninao wafahamu hawaijui JF?

Kwa staili hii ata kama unatafuta wa kuoa usiowe mwanamke mzuri wengi wao huwa kutwa nzima ni kwenye kioo na saloon pesa yote ata kama ana mshahara huishia kwenye vipodoz makeup nyingi shoping za mavazi ata ukiangalia kwenye taasisi za serikali sekta binafsi wenye nyazifa za uongozi majority ni wenye sura ngumu ata ndoa zilizo fanikiwa kudumu kwa muda mref ni za wanawake weusi na sio weupe tena hawana misambwanda hata hapa mtaani kwetu wenye ngoma na waliokufa nayo ni wazuriii weupee masambwanda ya hatar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wakali lakini comment zao ndio zinaidentify uko vichwani mwao kuna nn ndipo unapogundua je wapo vizuri au ni walewale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nimeanza kusoma jf mwaka 2009 lakini nimejisajili mwezi huu,,,,she wengi wanasoma tu hawajajiunga afu pia hawajaielewa jf itakuja kuvamiwa tu ,,muda haujafika
 
Uktaka kuwaona mademu wakal wa JF anzsha mad za instagram uone wanavyoitana. Utauza nyumba comment zao
 
Jf ni site ya watu wenye AKILI na wanaojitambua,so sio kila dame mkali awe na akili
 
Kiukweli hata mi nmejiunga juz tu lakn nashangaa huku majina magumu af kila mtu anaitwa "mkuu"[emoji23][emoji23]

naenjoy tho... natamani ningejoin mapema
 
Inawezekana hao madem ni wa sura na shape sio akili. Humu kunaitwa home great thinkers. Usifananishe JF na vitu vya kijinga.
 
Kweli huku warembo hamna kabisa ukitaka demu wa kuuzia sura na miswambwanda nenda inst
 
Watanzania mitandao ya kijamii wanaitumia kuonyesha kile wanachomiliki na sio kitu kingine. Na ndio maana wapo kwenye mitandao ya mapicha picha kama FB na IG.

Kwa sababu uko wanapata nafasi ya kupost magari yao,nyumba zao,mademu zap,mabwana zao,watoto wao n.k.


Hauwezi ukawakuta hata Twitter sio tu JF
 
Hii app imedizainiwa kiugumu mpka uzoee kuitumia kaz ipo,hamna marembo umu,mi naifaam toka kitambo but ckufanya regstrn...nlikuwa nawafatilia kina...,chifu mkwawa na pasco mayala,toka 2011...,tatizo la umu ni mazoea na majukwaa aya cjui michz,sias n.k....ila mi sibagui natembelea kote tuu umu,...apa kitaa kijana niliye app hii ni mimi tu cjawai muona mtu mwngn na hawaipendi,ila mimi hii app imekuwa zaid ya shule hunambii kitu kuhusu jf...nko na 21 age now toka 2011 naifatilia na naipenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…