Au sio. Ok siku yakikukuta utajuaMambo Yao waachie wenyewe
KweliChombo cha usafiri ukikizoea sana kuna mda unaona kama unaendesha kawaida.
Ushasema wana haraka sasa unataka tukujibuje mkuu mtoa uziTabia ya madereva wengi wa mabasi Tanzania kuvunja sheria au kuwa na haraka kuliko watumiaji wengine wa barabara ni chanzo cha ajali nyingi. Ifikie wakati wamiliki wasifumbie macho tabia hii. Serikali pia iwawajibishe wasiangalie makosa ya vibao vya 50 tu au kuzidisha abiria kuna tabia nyingi sana hatarishiri kuliko ambazo wanazozitilia mkazo.
Haraka zile sio zao ni jumla ya haraka zoote za abiria wake.....ndio anazibeba yeye...upoo ?Tabia ya madereva wengi wa mabasi Tanzania kuvunja sheria au kuwa na haraka kuliko watumiaji wengine wa barabara ni chanzo cha ajali nyingi. Ifikie wakati wamiliki wasifumbie macho tabia hii. Serikali pia iwawajibishe wasiangalie makosa ya vibao vya 50 tu au kuzidisha abiria kuna tabia nyingi sana hatarishiri kuliko ambazo wanazozitilia mkazo.
Madereva wakorofi na wanaoendesha ovyo dawa yao ni Latra kuweka sheria ya lazima(mandatory) kila basi ya abiria iwe na dashboard camera na iwe Connected na Polisi,Latra,mmiliki.
Hii itakuwa dawa ya Madereva wanaofanya uzembe,kuovateki ovyo,uchovu,kuendesha masaa mengi bila kupumzika na itasaidia kujua chanzo cha ajali kwa haraka. Na kampuni isiruhusiwe kufuta kumbukumbu pasipo kutoa taarifa