Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nawazaga hili swali najikuta NACHEKA.
M ni mpenzi wa habari za Kenya sana.
Kenya IMEKUTWA na matukio ya ajali nyingi sana na huuwa watu 10+
Hivi MAJUZI KUNA ajali tatu zimetokea zote ukiangalia gari zimeharobika KABISA.
Unachoanbiwa MADEREVA wote wamekimbia.
Mbili zimwgongana na.malori kwisha KABISA.
SRC SPEED KUBWA SASA HAWA WATU WANAKAJE KWENYE SPEED NA KUISHIA KUKIMBIA.
UKIJA DAR SAME MABASI YANAKWISHA KABISA MBELE UNAAMBIWA DEREVA KAKIMBIA.
Hawa jamaa watakuwa n wanga haiwezekani kila mmoja afanikiwe kukimbia.
M ni mpenzi wa habari za Kenya sana.
Kenya IMEKUTWA na matukio ya ajali nyingi sana na huuwa watu 10+
Hivi MAJUZI KUNA ajali tatu zimetokea zote ukiangalia gari zimeharobika KABISA.
Unachoanbiwa MADEREVA wote wamekimbia.
Mbili zimwgongana na.malori kwisha KABISA.
SRC SPEED KUBWA SASA HAWA WATU WANAKAJE KWENYE SPEED NA KUISHIA KUKIMBIA.
UKIJA DAR SAME MABASI YANAKWISHA KABISA MBELE UNAAMBIWA DEREVA KAKIMBIA.
Hawa jamaa watakuwa n wanga haiwezekani kila mmoja afanikiwe kukimbia.