Niko barabarani kwa mguu natoka mahali kwenda mjini kuna basi ya abiria imepita kwa speed sio nzuri sana eneo ambalo halitakiwi.
Sijajua hivi vibao vinavyoonyesha speed ya gari ya kutembea eneo husika vina maana gani kwa sisi madereva wa kiafrika.Sijajua alama za pundamilia za kuvuka watembea kwa miguu zina maana gani kwa sisi madereva wa Kiafrika.
Kibao kina kinaonyesha mwendo wa kutembea eneo husika lakini unashangaa gari inakuja speed kubwa na dereva anapiga honi mfululizo za ovyo kama yuko kwenye msafara wa harusi wakati eneo husika linaonyesha mwendo wa kawaida usiohitaji hata kupiga mluzi.
Kupiga honi nyingi za ovyo inaonyesha mwendo wa rough na usio makini.Derava mzuri haitaji honi nyingi na za fujo.
Wakati mwingine madereva tunajitakia wenyewe matatizo au ugomvi na watuwa usalama. Tunaweza tukawa tunawalaumu bure tu watu wa usalama.
Sijajua hivi vibao vinavyoonyesha speed ya gari ya kutembea eneo husika vina maana gani kwa sisi madereva wa kiafrika.Sijajua alama za pundamilia za kuvuka watembea kwa miguu zina maana gani kwa sisi madereva wa Kiafrika.
Kibao kina kinaonyesha mwendo wa kutembea eneo husika lakini unashangaa gari inakuja speed kubwa na dereva anapiga honi mfululizo za ovyo kama yuko kwenye msafara wa harusi wakati eneo husika linaonyesha mwendo wa kawaida usiohitaji hata kupiga mluzi.
Kupiga honi nyingi za ovyo inaonyesha mwendo wa rough na usio makini.Derava mzuri haitaji honi nyingi na za fujo.
Wakati mwingine madereva tunajitakia wenyewe matatizo au ugomvi na watuwa usalama. Tunaweza tukawa tunawalaumu bure tu watu wa usalama.