Kwanini Magari madogo hayatumii Dizeli yanatumia petrol?

Kwanini Magari madogo hayatumii Dizeli yanatumia petrol?

Gari ndogo za diesel zipo , Kuna mdau hapo juu kaelezea vizuri diesel engines za magari madogo

Ishu ya kwa Nini huzioni gari ndogo za diesel huku kwetu ni gharama zake za kununua na kuziendesha gari hizo, by default diesel engines ni kwa ajili ya shughuli heavy duty.

Soko la ulaya lilisha adopt diesel engines za magari madogo Ila mengi ni manual transmission na hata yakiwa used bado yanakuwa ni ghali kuliko petrol na Mara nyingi yanakuwa yametembea kilometre nyingi
 
Magari madogo ya Diesel yapo siku hizi.. Leyland wemetoa virikuu vinatumia Diesel.. Kupata engine ndogo ya Diesel, lazima gari iwe na turbo.. Lasivyo gari itakuwa na nguvu kidogo sana.
Uko sahihi , kwa kuongeza tu , turbocharger sio kwa ajili ya kuleta nguvu , ipo pale blue kwa ajili ya compactbility ya engines , bila turbo diesel powered engine zingekuwa kubwa kupitiliza ,
 
Kwa watalaam wa magari. Inakuaje magari madogo yasitumie dizeli?

Huwa najiuliza hiki kitu sipati jibu.

Naomba majibu ya kitaalam.
Japo swali lako halijakaa kitaalam na unatakaujibiwe kitaalam wacha nikujibu ivo ivo ili twende sawa Mafuta ya Diesel yanakupa zaidi torque> Horse Power na Mafuta ya Petrol ni Vice-versa. Over
 
Mbn yapo mengi sana hasa european car yanayotumia dizel , japo yanahitaji uangaliz wa hali ya juu

sent from HUAWEI
 
Magari gani madogo hayo unayosemea mkuu?

Maana vitz wana engine yenye diesel 1.4 L 1ND-TV

Toyota allex wanayo 2L 1CD-FTV D-4D

Toyota Avensis wanayo 2L 1CD-FTV

Toyota Caldina wanayo 2L 2C-T

Inshort za diesel ziko nyingi sana tu.

Tena European make ndio wanatengeneza hizo gari ndogo za diesel za kutosha
👍👍
 
Mada imebadilika kabisa....naona watu wanabishana kwa nn gari lisitumie maji....wakati ni nje kabisa ya swali liloloulizwa
 
Back
Top Bottom