Kwanini magari yana matairi 2 mbele kuzito, na matairi 4 nyuma kwepesi?


Elimu elimu elimu.
 
Unapozungumzia matairi 4 sina shaka unamanisha magari ya kubebe mizigo ni hivi: Yakiwa matairi mawili kila tairi inabeba nusu ya mzigo,matairi yakiwa manne kila tairi inabeba robo ya mzigo hivyo gari inakuwa nyepesi kuendesha ikiwa na matairi manne au zaidi nyuma - masuala ya physics.
 
Nilipoona title ya post tu nikajua mlete mada ni K 4 LIFE
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…