Kwanini magereza yote wafungwa huvaa rangi ya orange?

Kwanini magereza yote wafungwa huvaa rangi ya orange?

Naona utaratibu wa magereza mengi hapa duniani wanavaa nguo za orange,wenye maarifa mnaweza kunielewesha?

Unaweza kututajia hayo magereza yanayo vaa orange
 
ni rangi inayong'aa kama reflector huwezi kujificha hivyo mfungwa hawezi kukimbia au kujificha kwakua ni rahisi kuonekana

Unataka kusema orange inaonekana zaidi kuliko nyeupe[emoji848]
 
Naona utaratibu wa magereza mengi hapa duniani wanavaa nguo za orange,wenye maarifa mnaweza kunielewesha?
Kuna magereza yana vaaa Rangi kam pundamilia, Sio orange pekeee
 
Usisahau kuna mengine ya bluu, hasa nchi za mbali mbali huko duniani
 
Historia ipo hivi mwaka 1821

Uko nchi uingereza mtu wa kwanza kwenda jela alikuwa ni mbakaji Mahakama ilimpata ofa akiwa kama mfungwa wa kwanza wa kifungo cha maisha ulipenda mahakama ikufanyie nini kama sehemu ya kutii kifungo hiko ? Jamaa akasema kuna nguo ipo nyumbani sijawahi kuivaa tangu ninunue naomba niletewe hiyo tu nitakuwa mwenye furaha mahakama ilitekeleza ombi ilo nguo hiyo ilikuwa kama JOO LA KIFALME LIKIWA NA RANGI YA ORANGE
 
Zinaonekana kirahisi kwenye mwanga hafifu (Dim light)

Sababu ileile inayofanya Airplane Black Boxes (FDR&CVR) ziwe na rangi ya orange ndiyo zinafanya uniforms za wafungwa ziwe hivyo.
 
Ni kama lifting and heavy equipment au School Bus,hua na Orange colour coz ni rangi inayo onekana zaidi,

Hata Black box ya Ndege ni Orange coz ni rangi ambayo ni visible zaidi,hata Life jacket hua ni Rangi ya Orange pia.
 
Back
Top Bottom