Kwanini magoli kipa wengi wa Taifa stars hutokea Simba?

Kwanini magoli kipa wengi wa Taifa stars hutokea Simba?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Mara nyingi huwa hivyo kuwa makipa wengi wa Taifa Stars hutokea timu ya Simba ya Dar es salaam.

Kitaalam hiyo hutokana na nini?
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Ndiyomaana timu inafungwa fungwa tu.
Tangu enzi za Athuman Mambosasa, Mohamed Mwameja, Idd Pazi, Juma Kaseja, Aishi Manula kote huko Simba ndiyo inaongoza kutoa makipa wa Taifa stars kuliko timu yoyote ya Tanzania. KULIKONI?
 
Tangu enzi za Athuman Mambosasa, Mohamed Mwameja, Idd Pazi, Juma Kaseja, Aishi Manula kote huko Simba ndiyo inaongoza kutoa makipa wa Taifa stars kuliko timu yoyote ya Tanzania. KULIKONI?
Mbona humtaji Juma Pondamali! Na yeye pia alitokea simba. Kuna Steven Nemes!! Beno Kakolanya naye kabla ya kurubuniwa kuhamia simba, alikuwa Yanga! Na alikuwa ni moto kweli kweli.
 
Mbona humtaji Juma Pondamali! Na yeye pia alitokea simba. Kuna Steven Nemes!! Beno Kakolanya naye kabla ya kurubuniwa kuhamia simba, alikuwa Yanga! Na alikuwa ni moto kweli kweli.
Hao utopolo ni wachache kati ya bahari kubwa yenye kina kirefu ya makipa Bora toka unyamani.

Hata ukiangalia muda wa makipa wa Simba ni mrefu Zaidi kuliko makipa wengine toka timu nyingine.
 
sasa hata ukipata majibu itakusaidia nini? by the way hujaweka takwimu zozote za makipa waliowahi kudakia hiyo Stars tangu ianzishwe
 
Back
Top Bottom