Kwanini magolikipa siku hizii hawavai track wakiwa mchezoni kama zamani?

Kwanini magolikipa siku hizii hawavai track wakiwa mchezoni kama zamani?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Naombeni majibu
IMG_4295.jpeg
IMG_4294.jpeg
 
Magoli kipa wa kisasa ni wachezaji kama wa ndani, zamani kazi ya goli kipa ilikuwa kudaka ila Kwa Sasa anavaa pensi ili apige mashuti mbali
 
Zamani viwanja vilikuwa Kipara,yaani golini kulikuwa hakuna majani,ukijaribu kujirusha upande lazima utoke na Mashilingi(Ile michubuko kipindi hicho ndiyo tuliita)Kwa hiyo vibukta vilikuwA havisaidii kitu.
 
Viwanja vya sasa vingi ni vya kisasa na vina nyasi za bandia, hivyo magolikipa wa sasa hawahitaji kujilinda kuchubuka kwenye viwanja vya viwango vya chini kama vya kale.


Pia magolikipa wa sasa wapo tofauti na wazamni kiuchezaji , sasa hivi walimu wengi hupenda kuanzisha mashambulizi kutokea kwa magolikipa na sio kubutua tu mbele , hivyo magolikipa wanahitaji mavazi kama ya wachezaji wengine kurahisisha mfumo huo wa uchezaji🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom